YONA 1:1-17
UTANGULIZI
Muachano ni kuacha njia iliyo sahii. Muachano ni kubadilisha muelekeo. Muachano ni kila jambo linalo chukua mafikira yako kutoka kwa shabaha yako. Muachano unaweza kuwa mbaya hau mzuri. Maisha kama jinsi safari, safari inao mwanzo, muelekeo na mwisho. Mungu anao mpango wa Ajabu kwa maisha ya kila mmoja wetu. Maisha ya mtu inaweza kugeuzwa na shetani katika muachano wa kishetani. Yona 1:1-17, Yona alibadilisha muelekeo wa safari yake. Muachano wa safari yake ulileta maovu kwa watu wengi sana. Wafanya biashara walitupa mali yao baharini kwa sababu mtu mmoja aliyekuwa katika muachano mbaya alikuwa katika chombo. Yona alilala wakati dhoruba iliwaamusha wengine wote. (7-17). Je, ni roho gani inayomfanya mtu kubandilisha muelekeo na kwenda katika muachano mbaya ? Roho gani ilimfanya Yona kubandilisha safari ya kwenda Ninawi? Hata mtu akiwa nabii wa Mungu anaweza kuingia katika muachano mbaya.
Hebu tujifunze:-
I. DALILI YA MUACHANO MBAYA
II. HAINA YA MUACHANO ( CLASSES OF EVIL DIVERSION)
Ni maombi yangu kwamba safari zako zilizo ovu, Bwana atazivunja leo katika jina la Kristo Yesu.
III. LENGO YA MUACHANO MBAYA
IV. MAISHA YALIO TUMIKA MBAYA NI NINI?
V. NI NANI AGENTI WA MUACHANO MBAYA?
VI. JINSI YA KUPATA USHINDI DHIDI YA MUACHANO MBAYA.
MWISHO
Omba:
MFULULIZO: MAISHA BILA VIZUIZI. SOMO: ZABURI 46:1. Biblia inatuakikishia kwamba Mungu wetu ni “Msaada…
SERIES: THE GOD WHO NEVER FAILS. TEXT: PROVERBS 3:5-6. Every destiny is a divine…
SERIES: THROUGH THE BOOK OF COLOSSIANS. TEXT: Colossians 3:5-10 We have put off the…
SERIES: THE GOD WE SERVE TEXT: 2nd SAMUEL 5:17-20 Breakthroughs are divine interventions that…
SERIES: DRAWING NEAR TO GOD TEXT: LAMENTATIONS 3:37 It reminds believers that God's word alone…
MFULULIZO: MAISHA BILA VIZUIZI. SOMO: 1 YOHANA 5:4. Wakristo wengi wanaishi maisha ya kushindwa…