MFULULIZO: SIONI HAYA
SOMO: 2 TIMOTHEO 2:14-26
Biblia inafundisha wazi mambo yanayompendeza Mungu na yasiyompendeza. Mungu anapenda sana kuwaheshimu watu wake, lakini lazima na wao kumheshimu Mungu. Wana wa Eli hawakumheshimu Mungu. Eli alikuwa na dhambi ya kuwaheshimu wanawe kuliko Mungu. Eli alipata hukumu ya Mungu kwa Matendo yake- 1st Sam.2:29. Kuna watu aina nne wametajwa:-
Je, tunamheshimu Mungu kwa jinsi gani?
MPE BWANA WAKATI WAKO.
MTUMIKIE BWANA NA KARAMA ZAKO ZOTE
MTUMIKIE BWANA NA MALI YAKO.
Mathayo 6:21- “Kwa kuwa hazina yako ilipo ndipo utakapo kuwepo na moyo wako.”
MHESHIMU MUNGU KATIKA HEKALU LAKO.
1st Wakorintho 6:19-20- “Au hamjui ya kuwa mwili wenu ni Hekalu la Roho Mtakatifu aliye ndani yenu mliyepewa na Mungu? Wala nyinyi si mali yenu wenyewe. Maana mlinunuliwa kwa dhamani, sasa basi mtukuzeni Mungu katika miili yenu.”
WATU WANAO HITAJIKA KANISANI NA WASIO HITAJIKA.
MWISHO
TEXT: LUKE 2:1-14. The birth of Jesus Christ shattered spiritual, social and eternal barriers,…
TEXT: JOHN 3:16-17. Christmas unveils the divine mission behind the birth of Jesus Christ;…
MFULULIZO: KRISMASI NI KUFUNULIWA KWA YESU KRISTO. SOMO: LUKA 2:8-14. Krismasi inafunua jibu la…
SERIES: CHRISTMAS IS CHRIST. TEXT: JOHN 1:1-14. Christmas is the divine moment when God…
TEXT: ISAIAH 53:1-12. The son of man came to seek and save that which…
SERIES: CHRISTMAS IS JESUS CHRIST. TEXT: MATTHEW 1:21 Jesus Christ is the savior of…