MFULULIZO:UPENDO WA MUNGU
SOMO: MALAKI 1:1-5
Upendo wa Mungu ndio ujumbe wa katikati katika Biblia. Malaika alianza unabii wake na neno la upendo wa Mungu. “Nimewapenda ninyi, asema Bwana” lakini watu walikuwa wamerudi nyuma wakamwambia Mungu “umetupendaje?” walikuwa wamepoteza upendo wao kwa Mungu wao. Hivyo Mungu alianza kuwaeleza jinsi alivyowapenda tangu wakati wa Yakobo na Esau. Watu wa mbali walijua kwamba Mungu alipenda Israeli kwa sababu ya jinsi aliwachangua kutoka kwa wengi katika mataifa, jinsi aliwashindania juu ya adui zao.
Hebu tujifunze juu ya upendo wa Mungu:-
I. UPENDO WA MUNGU NI KWA WASIOSTAHILI (V.2-3) (UNMERITED).
II. UPENDO WA MUNGU HAUBANDILIKI (UNCHANGING)
III. UPENDO WA MUNGU NI KWA WOTE (UNIVERSAL)
MWISHO
MFULULIZO: AGANO LA UTAKASO. SOMO: KUTOKA 12:12-13. Damu ya Yesu Kristo ndiyo mhuri wa…
SERIES: SUPERNATURAL ADVANCEMENT. TEXT: HABAKKUK 3:19. The journey of fulfilling your destiny does not…
SERIES: THROUGH THE BOOK OF COLOSSIANS. TEXT: COLOSSIANS 3:15 Thankfulness is a great attitude…
SERIES: THE ANOINTING. TEXT: EZEKIEL 47:1-5 There are levels of the anointing and each…
MFULULIZO: AGANO LA UTAKASO. SOMO: ESTA 2:15-18. Kibali cha Mungu ndicho kinacho watenga watoto…
SERIES: THE GOD WHO NEVER FAILS. TEXT: HAGGAI 2:6-9. God has the power to…