MFULULIZO:UPENDO WA MUNGU
SOMO: MALAKI 1:1-5
Upendo wa Mungu ndio ujumbe wa katikati katika Biblia. Malaika alianza unabii wake na neno la upendo wa Mungu. “Nimewapenda ninyi, asema Bwana” lakini watu walikuwa wamerudi nyuma wakamwambia Mungu “umetupendaje?” walikuwa wamepoteza upendo wao kwa Mungu wao. Hivyo Mungu alianza kuwaeleza jinsi alivyowapenda tangu wakati wa Yakobo na Esau. Watu wa mbali walijua kwamba Mungu alipenda Israeli kwa sababu ya jinsi aliwachangua kutoka kwa wengi katika mataifa, jinsi aliwashindania juu ya adui zao.
Hebu tujifunze juu ya upendo wa Mungu:-
I. UPENDO WA MUNGU NI KWA WASIOSTAHILI (V.2-3) (UNMERITED).
II. UPENDO WA MUNGU HAUBANDILIKI (UNCHANGING)
III. UPENDO WA MUNGU NI KWA WOTE (UNIVERSAL)
MWISHO
TEXT: LUKE 2:1-14. The birth of Jesus Christ shattered spiritual, social and eternal barriers,…
TEXT: JOHN 3:16-17. Christmas unveils the divine mission behind the birth of Jesus Christ;…
MFULULIZO: KRISMASI NI KUFUNULIWA KWA YESU KRISTO. SOMO: LUKA 2:8-14. Krismasi inafunua jibu la…
SERIES: CHRISTMAS IS CHRIST. TEXT: JOHN 1:1-14. Christmas is the divine moment when God…
TEXT: ISAIAH 53:1-12. The son of man came to seek and save that which…
SERIES: CHRISTMAS IS JESUS CHRIST. TEXT: MATTHEW 1:21 Jesus Christ is the savior of…