DANIELI 2:1-20
UTANGULIZI
Dani ya Danieli palikuwa na roho ya ufahamu, maarifa na hekima. Ufahamu, maarifa na hekima vinahitajika kukusaidia kupanda mpaka juu zaidi. “Kwa sababu mimi nitawapa kinywa na hekima ambayo watesi wenu wote hawataweza kushindana nayo wala kuipinga” (Luka 21:15) Danieli 1:8-9. Mungu anaweza kukupa ufahamu, maarifa na hekima, adui na marafiki wako hawataweza kushindana nawe, katika jina la Yesu Kristo. Tunahitaji kuomba ili Mingu atupe roho ya ufahamu, maarifa na hekima. Kushinda umaskini tunahitaji roho ya ufahamu, maarifa na hekima. Mungu wa Danieli ni yeye yule jana leo na milele. Upako wa ufahamu, maarifa na hekima ni wako leo. Mungu wa Danieli ni yule twamuona katika Danieli 1:17. “Mungu wa Danieli aliwapa maarifa na ujuzi katika elimu na hekima. Danieli naye alikuwa na ufahamu katika maono yote na ndoto”. Mungu wa Danieli anawafunulia watoto wake katika ndoto na ufunuo.
Hebu tuone:-
I. MUNGU WA DANIELI NI MUNGU WA UFUNUO (Danieli 1:17)
II. MUNGU WA DANIELI NI MWENYE UWEZO MKUU (Danieli 2:21)
III. MUNGU WA DANIELI NI MUNGU WA SIRI NYINGI (Dan.2:22)
IV. MUNGU WA DANIELI NI MUNGU WA UKOMBOZI (6:20-22)
V. MUNGU WA DANIELI NI MUNGU WA ISHARA NA MAAJABU (6:26-27)
MWISHO– OMBA;
MFULULIZO: AGANO LA UTAKASO. SOMO: KUTOKA 12:12-13. Damu ya Yesu Kristo ndiyo mhuri wa…
SERIES: SUPERNATURAL ADVANCEMENT. TEXT: HABAKKUK 3:19. The journey of fulfilling your destiny does not…
SERIES: THROUGH THE BOOK OF COLOSSIANS. TEXT: COLOSSIANS 3:15 Thankfulness is a great attitude…
SERIES: THE ANOINTING. TEXT: EZEKIEL 47:1-5 There are levels of the anointing and each…
MFULULIZO: AGANO LA UTAKASO. SOMO: ESTA 2:15-18. Kibali cha Mungu ndicho kinacho watenga watoto…
SERIES: THE GOD WHO NEVER FAILS. TEXT: HAGGAI 2:6-9. God has the power to…