DANIELI 2:1-20
UTANGULIZI
Dani ya Danieli palikuwa na roho ya ufahamu, maarifa na hekima. Ufahamu, maarifa na hekima vinahitajika kukusaidia kupanda mpaka juu zaidi. “Kwa sababu mimi nitawapa kinywa na hekima ambayo watesi wenu wote hawataweza kushindana nayo wala kuipinga” (Luka 21:15) Danieli 1:8-9. Mungu anaweza kukupa ufahamu, maarifa na hekima, adui na marafiki wako hawataweza kushindana nawe, katika jina la Yesu Kristo. Tunahitaji kuomba ili Mingu atupe roho ya ufahamu, maarifa na hekima. Kushinda umaskini tunahitaji roho ya ufahamu, maarifa na hekima. Mungu wa Danieli ni yeye yule jana leo na milele. Upako wa ufahamu, maarifa na hekima ni wako leo. Mungu wa Danieli ni yule twamuona katika Danieli 1:17. “Mungu wa Danieli aliwapa maarifa na ujuzi katika elimu na hekima. Danieli naye alikuwa na ufahamu katika maono yote na ndoto”. Mungu wa Danieli anawafunulia watoto wake katika ndoto na ufunuo.
Hebu tuone:-
I. MUNGU WA DANIELI NI MUNGU WA UFUNUO (Danieli 1:17)
II. MUNGU WA DANIELI NI MWENYE UWEZO MKUU (Danieli 2:21)
III. MUNGU WA DANIELI NI MUNGU WA SIRI NYINGI (Dan.2:22)
IV. MUNGU WA DANIELI NI MUNGU WA UKOMBOZI (6:20-22)
V. MUNGU WA DANIELI NI MUNGU WA ISHARA NA MAAJABU (6:26-27)
MWISHO– OMBA;
TEXT: LUKE 2:1-14. The birth of Jesus Christ shattered spiritual, social and eternal barriers,…
TEXT: JOHN 3:16-17. Christmas unveils the divine mission behind the birth of Jesus Christ;…
MFULULIZO: KRISMASI NI KUFUNULIWA KWA YESU KRISTO. SOMO: LUKA 2:8-14. Krismasi inafunua jibu la…
SERIES: CHRISTMAS IS CHRIST. TEXT: JOHN 1:1-14. Christmas is the divine moment when God…
TEXT: ISAIAH 53:1-12. The son of man came to seek and save that which…
SERIES: CHRISTMAS IS JESUS CHRIST. TEXT: MATTHEW 1:21 Jesus Christ is the savior of…