SOMO: KUMBUKUMBU LA TORATI 33:27.
Mungu wa milele ni Mungu mkuu zaidi, anawaongoza watu wake kutoka na maovu ya kila haina. Mikono yake ya milele na wema wake vinaonekana katika kila sehemu ya maisha yetu.
Mungu anatambulishwa kwetu kama Mungu wa milele. Huyu Mungu wa milele ndiye maficho yetu. Tunashikwa na mikono yake na mikono yake ni ya milele. Changamoto za maisha zinaweza kuodhoreshwa kwa makundi matatu:
Katika changamoto hizi zote, Mungu wa milele yupo hili atupe usaidizi na faraja kwa maana yeye ni yule jana na leo na hata milele-Waebrania 13:8. Hebu tutazame:-
UKUU WA MUNGU WA MILELE.
UONGOZI WA MUNGU WA MILELE.
WEMA WA MUNGU WA MILELE.
MWISHO
TEXT: LUKE 2:1-14. The birth of Jesus Christ shattered spiritual, social and eternal barriers,…
TEXT: JOHN 3:16-17. Christmas unveils the divine mission behind the birth of Jesus Christ;…
MFULULIZO: KRISMASI NI KUFUNULIWA KWA YESU KRISTO. SOMO: LUKA 2:8-14. Krismasi inafunua jibu la…
SERIES: CHRISTMAS IS CHRIST. TEXT: JOHN 1:1-14. Christmas is the divine moment when God…
TEXT: ISAIAH 53:1-12. The son of man came to seek and save that which…
SERIES: CHRISTMAS IS JESUS CHRIST. TEXT: MATTHEW 1:21 Jesus Christ is the savior of…