SOMO: KUMBUKUMBU LA TORATI 33:27.
Mungu wa milele ni Mungu mkuu zaidi, anawaongoza watu wake kutoka na maovu ya kila haina. Mikono yake ya milele na wema wake vinaonekana katika kila sehemu ya maisha yetu.
Mungu anatambulishwa kwetu kama Mungu wa milele. Huyu Mungu wa milele ndiye maficho yetu. Tunashikwa na mikono yake na mikono yake ni ya milele. Changamoto za maisha zinaweza kuodhoreshwa kwa makundi matatu:
Katika changamoto hizi zote, Mungu wa milele yupo hili atupe usaidizi na faraja kwa maana yeye ni yule jana na leo na hata milele-Waebrania 13:8. Hebu tutazame:-
UKUU WA MUNGU WA MILELE.
UONGOZI WA MUNGU WA MILELE.
WEMA WA MUNGU WA MILELE.
MWISHO
MFULULIZO: MAISHA BILA VIZUIZI. SOMO: ZABURI 46:1. Biblia inatuakikishia kwamba Mungu wetu ni “Msaada…
SERIES: THE GOD WHO NEVER FAILS. TEXT: PROVERBS 3:5-6. Every destiny is a divine…
SERIES: THROUGH THE BOOK OF COLOSSIANS. TEXT: Colossians 3:5-10 We have put off the…
SERIES: THE GOD WE SERVE TEXT: 2nd SAMUEL 5:17-20 Breakthroughs are divine interventions that…
SERIES: DRAWING NEAR TO GOD TEXT: LAMENTATIONS 3:37 It reminds believers that God's word alone…
MFULULIZO: MAISHA BILA VIZUIZI. SOMO: 1 YOHANA 5:4. Wakristo wengi wanaishi maisha ya kushindwa…