SOMO: HESABU 10:29-32
UTANGULIZI
Biblia ni kitabu cha mialiko mikuu. Katika Biblia Mungu anaendelea kuwaalika watu wamjie na kushiriki katika kazi yake. Katika somo hili Musa anaongea na mtu kwa jina Hobabu. Hobabu alikuwa mkwe wake Musa. (Waamuzi 4:11) Hobabu kwa jina linguine aliitwa Yethro kuhani mkuu wa Midiani (Kutoka 18). Yethro alimtembelea Musa na wana wa Israeli jangwani. Hivyo Musa alipata Nafasi ya Kumwalika kujiunga na wao kwenda Kanaani Inchi ya Ahadi. Sisi nasi tumeitwa kuwaalika watu kujiunga katika safari ua Mbinguni.
Hebu tujifunze:-
I. NJOO, JIUNGE NASI KATIKA SAFARI. (Hesabu 10:29)
II. NJOO, USHIRIKI KATIKA JAMII YA MUNGU. (Hesabu 10:29-32)
III. NJOO, SHIRIKI KATIKA AHADI ZETU. (Hesabu 10:29)
Bwana amenena mema juu ya Israeli”
Uje ushiriki ahadi ya Mji bora.
Uje ushiriki ahadi ya tumaini (v.29)
Uje ushiriki ahadi ya kusaidiwa.
MWISHO
¨ Hobabu (Yethro) kwanza alikataa mwaliko (V.30)
¨ Hobabu baadaye alikubali mwaliko (Waamuzi 4:18-22)
¨ Yaeli alikuwa mke wa mwana wake Hobabu
¨ Je, Mungu amenena na maisha yako ? Basi mjie Kristo.
¨ Je, Mungu amenena juu ya shida yako ? Njoo kwake.
¨ Usimkatae Mungu anaponena kwako.
MFULULIZO: AGANO LA UTAKASO. SOMO: KUTOKA 12:12-13. Damu ya Yesu Kristo ndiyo mhuri wa…
SERIES: SUPERNATURAL ADVANCEMENT. TEXT: HABAKKUK 3:19. The journey of fulfilling your destiny does not…
SERIES: THROUGH THE BOOK OF COLOSSIANS. TEXT: COLOSSIANS 3:15 Thankfulness is a great attitude…
SERIES: THE ANOINTING. TEXT: EZEKIEL 47:1-5 There are levels of the anointing and each…
MFULULIZO: AGANO LA UTAKASO. SOMO: ESTA 2:15-18. Kibali cha Mungu ndicho kinacho watenga watoto…
SERIES: THE GOD WHO NEVER FAILS. TEXT: HAGGAI 2:6-9. God has the power to…