SOMO: HESABU 10:29-32
UTANGULIZI
Biblia ni kitabu cha mialiko mikuu. Katika Biblia Mungu anaendelea kuwaalika watu wamjie na kushiriki katika kazi yake. Katika somo hili Musa anaongea na mtu kwa jina Hobabu. Hobabu alikuwa mkwe wake Musa. (Waamuzi 4:11) Hobabu kwa jina linguine aliitwa Yethro kuhani mkuu wa Midiani (Kutoka 18). Yethro alimtembelea Musa na wana wa Israeli jangwani. Hivyo Musa alipata Nafasi ya Kumwalika kujiunga na wao kwenda Kanaani Inchi ya Ahadi. Sisi nasi tumeitwa kuwaalika watu kujiunga katika safari ua Mbinguni.
Hebu tujifunze:-
I. NJOO, JIUNGE NASI KATIKA SAFARI. (Hesabu 10:29)
II. NJOO, USHIRIKI KATIKA JAMII YA MUNGU. (Hesabu 10:29-32)
III. NJOO, SHIRIKI KATIKA AHADI ZETU. (Hesabu 10:29)
Bwana amenena mema juu ya Israeli”
Uje ushiriki ahadi ya Mji bora.
Uje ushiriki ahadi ya tumaini (v.29)
Uje ushiriki ahadi ya kusaidiwa.
MWISHO
¨ Hobabu (Yethro) kwanza alikataa mwaliko (V.30)
¨ Hobabu baadaye alikubali mwaliko (Waamuzi 4:18-22)
¨ Yaeli alikuwa mke wa mwana wake Hobabu
¨ Je, Mungu amenena na maisha yako ? Basi mjie Kristo.
¨ Je, Mungu amenena juu ya shida yako ? Njoo kwake.
¨ Usimkatae Mungu anaponena kwako.
TEXT: LUKE 2:1-14. The birth of Jesus Christ shattered spiritual, social and eternal barriers,…
TEXT: JOHN 3:16-17. Christmas unveils the divine mission behind the birth of Jesus Christ;…
MFULULIZO: KRISMASI NI KUFUNULIWA KWA YESU KRISTO. SOMO: LUKA 2:8-14. Krismasi inafunua jibu la…
SERIES: CHRISTMAS IS CHRIST. TEXT: JOHN 1:1-14. Christmas is the divine moment when God…
TEXT: ISAIAH 53:1-12. The son of man came to seek and save that which…
SERIES: CHRISTMAS IS JESUS CHRIST. TEXT: MATTHEW 1:21 Jesus Christ is the savior of…