ISAYA 1:18
UTANGULIZI
Nabii Isaya alitumika katika wakati kama wakati tulionao hapa kwetu Kenya. Inchi ya Israeli ilikuwa imemwacha Mungu na njia zake. Watu wa Mungu walikuwa wanaishi katika dhambi na ibada za sanamu.
(v.2) watu walikuwa wamemuasi Mungu.
V.3: Israeli walikuwa wamemkataa Mungu, kwa kweli walikuwa wameshidwa akili na wanyama.
V.4: Walichukua mzigo wa dhambi na uovu.
V.5: Walikuwa wagonjwa wa moyo na kuzimia
V.7-8: Ubaya ulienea kila mahali.
V.9-10: Walikuwa kama Sodoma na Gomora.
V.11-15: Ibada zao zilikuwa chukizo kwa Mungu.
V.9: Mabaki wachache ndio walibaki Israeli yote.
Watu hawawezi kumtafuta Mungu kwa nguvu zao wenyewe. (I Yohana 4:19, Waefeso 2:1-3, Luka 19:10).
Bwana anawaalika watu wa Israeli wamnjie. Hivi leo, Mungu anawaalika, wenye dhambi, wamjie wapate utakaso.
Hebu tuone:-
I. TATIZO YA MWALIKO HUU.
II. HARAKA ZA MWALIKO HUU.
III. URAFIKI WA MWALIKO HUU.
IV. AJABU YA MWALIKO HUU.
MWISHO
¨ Bwana anakuita leo, sikia mwito na mwaliko wake.
¨ Bwana anakuita nje ya korti kusemezana leo.
¨ Wamebarikiwa wanao tii sauti ya Bwana anapowaita.
MFULULIZO: AGANO LA UTAKASO. SOMO: KUTOKA 12:12-13. Damu ya Yesu Kristo ndiyo mhuri wa…
SERIES: SUPERNATURAL ADVANCEMENT. TEXT: HABAKKUK 3:19. The journey of fulfilling your destiny does not…
SERIES: THROUGH THE BOOK OF COLOSSIANS. TEXT: COLOSSIANS 3:15 Thankfulness is a great attitude…
SERIES: THE ANOINTING. TEXT: EZEKIEL 47:1-5 There are levels of the anointing and each…
MFULULIZO: AGANO LA UTAKASO. SOMO: ESTA 2:15-18. Kibali cha Mungu ndicho kinacho watenga watoto…
SERIES: THE GOD WHO NEVER FAILS. TEXT: HAGGAI 2:6-9. God has the power to…