MFULULIZO: WASHINDWA WAKUU KATIKA BIBLIA
SOMO: WALAWI 10:1-10; WAEBRANIA 12:18-29
Leo tunatazama watu wawili waliokuwa ndugu, majina yao ni Nadabu na Abihu. Hawa ndugu wawili walipotea kwa maana hawakumchukua Mungu maanani. Hawakujali kanuni za ibada, unii na utakatifu. Hawakumwabudu Mungu katika kweli na katika Roho Mtakatifu.
Tunakutana na Nadabu na Abihu katika Kutoka 6:23- “Haruni alimwoa Elisheba binti ya Abinadabu umbu yake Nashoni naye akamzalia Nadabu na Abihu na Eliazari na Ithamari.”
Hapa twaona Nadabu na Abihu ni wanawe Haruni. Haruni naye ni ndugu yake Musa. Nadabu na Abihu pia wako na ndugu zao Eliazari na Ithamari. Jina Nadabu maanake ni “mngwana” anayeheshimika (noble). Abihu maanake ni “baba yangu ndiye.” Nadabu na Abihu walizaliwa katika utumwa wa Misri. Nadabu na Abihu walielewa sana hali ya utumwa. Hawa ndugu wawili walizaliwa mtawalia- Hesabu 3:2.
Katika kutoka 24:1-“Kisha Bwana akamwambia Musa, kweeni wewe na Haruni na Nadabu na Abihu na watu sabini na wazee wa Israeli, mkamfikilie BWANA, mkasujudie kwa mbali.”
Hebu tuone:-
MOTO KATIKA BIBLIA
MOTO WA KIGENI.
Nadabu na Abihu walitumia wamlaka isiyo yao. Hawakumweleza Musa na Haruni juu ya ibada yao. Pia hawakumweleza Mungu ambaye ndiye mwenye ibada.
MWISHO
TEXT: LUKE 2:1-14. The birth of Jesus Christ shattered spiritual, social and eternal barriers,…
TEXT: JOHN 3:16-17. Christmas unveils the divine mission behind the birth of Jesus Christ;…
MFULULIZO: KRISMASI NI KUFUNULIWA KWA YESU KRISTO. SOMO: LUKA 2:8-14. Krismasi inafunua jibu la…
SERIES: CHRISTMAS IS CHRIST. TEXT: JOHN 1:1-14. Christmas is the divine moment when God…
TEXT: ISAIAH 53:1-12. The son of man came to seek and save that which…
SERIES: CHRISTMAS IS JESUS CHRIST. TEXT: MATTHEW 1:21 Jesus Christ is the savior of…