MFULULIZO: MAISHA NA NYAKATI ZA ELISHA
SOMO: 2 WAFALME 4:8-37
Hiki ni kisa cha mama aliyekuwa tasa kwa muda mrefu. Baadaye akapata muujiza na kujaliwa mtoto wa kiume. Lakini baada ya miaka yule mtoto akafa. Lakini huyu mama akashikilia imani mpaka Mungu akamfufua yule mtoto. Huyu mama wa huko Shunemu alikuwa mkuu kwa imani na ukarimu wake. Hebu tuone:-
JE, UKUU WAKE ULITOKA WAPI?
IMANI YAKE ILIJARIBIWA.
MTOTO ALIFUFUKA AKAREJESHWA KWA MAMA YAKE.
MWISHO
MFULULIZO: AGANO LA UTAKASO. SOMO: KUTOKA 12:12-13. Damu ya Yesu Kristo ndiyo mhuri wa…
SERIES: SUPERNATURAL ADVANCEMENT. TEXT: HABAKKUK 3:19. The journey of fulfilling your destiny does not…
SERIES: THROUGH THE BOOK OF COLOSSIANS. TEXT: COLOSSIANS 3:15 Thankfulness is a great attitude…
SERIES: THE ANOINTING. TEXT: EZEKIEL 47:1-5 There are levels of the anointing and each…
MFULULIZO: AGANO LA UTAKASO. SOMO: ESTA 2:15-18. Kibali cha Mungu ndicho kinacho watenga watoto…
SERIES: THE GOD WHO NEVER FAILS. TEXT: HAGGAI 2:6-9. God has the power to…