MFULULIZO: MAISHA NA NYAKATI ZA ELISHA
SOMO: 2 WAFALME 4:8-37
Hiki ni kisa cha mama aliyekuwa tasa kwa muda mrefu. Baadaye akapata muujiza na kujaliwa mtoto wa kiume. Lakini baada ya miaka yule mtoto akafa. Lakini huyu mama akashikilia imani mpaka Mungu akamfufua yule mtoto. Huyu mama wa huko Shunemu alikuwa mkuu kwa imani na ukarimu wake. Hebu tuone:-
JE, UKUU WAKE ULITOKA WAPI?
IMANI YAKE ILIJARIBIWA.
MTOTO ALIFUFUKA AKAREJESHWA KWA MAMA YAKE.
MWISHO
SERIES: DRAWING NEAR TO GOD TEXT: LAMENTATIONS 3:37 It reminds believers that God's word alone…
MFULULIZO: MAISHA BILA VIZUIZI. SOMO: 1 YOHANA 5:4. Wakristo wengi wanaishi maisha ya kushindwa…
SERIES: THE GOD WHO NEVER FAILS. TEXT: ISAIAH 10:27. God’s desire is that none…
SERIES: DRAW NEAR TO GOD. TEXT: HEBREWS 11:6. The Bible tells us that God…
MFULULIZO: MAISHA BILA VIZUIZI. SOMO: WAAMUZI 6: 11-16 Moja ya vizuizi kubwa zaidi kwa…
SERIES: THE HOD WHO NEVER FAILS. TEXT: ISAIAH 61:7 Shame is not the end…