MFULULIZO: NGUVU ZA KUISHI
SOMO: ZABURI 62:11
Nguvu ni zake Mungu. Kuna nguvu za aina nyingi lakini kuna nguvu zilizo juu zaidi ya zote, nguvu za Yehova Mwenyezi Mungu.
Mungu ni mkuu, nguvu zote ni zake. Mungu hawezi kulinganishwa na yeyote yule. Nguvu za Mungu ziko juu ya yote duniani, mbinguni na juu ya viumbe vyote- Isaya 45:21.
Nguvu za Mungu ziko katika Yesu Kristo. Yesu Kristo amepewa jina lililo juu ya majina yote, uwezo na nguvu zote mbinguni na duniani- Mathayo 28:18.
Hebu tuone:-
MWISHO
Masharti ya kupata nguvu za Mungu;
MFULULIZO: AGANO LA UTAKASO. SOMO: KUTOKA 12:12-13. Damu ya Yesu Kristo ndiyo mhuri wa…
SERIES: SUPERNATURAL ADVANCEMENT. TEXT: HABAKKUK 3:19. The journey of fulfilling your destiny does not…
SERIES: THROUGH THE BOOK OF COLOSSIANS. TEXT: COLOSSIANS 3:15 Thankfulness is a great attitude…
SERIES: THE ANOINTING. TEXT: EZEKIEL 47:1-5 There are levels of the anointing and each…
MFULULIZO: AGANO LA UTAKASO. SOMO: ESTA 2:15-18. Kibali cha Mungu ndicho kinacho watenga watoto…
SERIES: THE GOD WHO NEVER FAILS. TEXT: HAGGAI 2:6-9. God has the power to…