MFULULIZO: NGUVU ZA KUISHI
SOMO: ZABURI 62:11
Nguvu ni zake Mungu. Kuna nguvu za aina nyingi lakini kuna nguvu zilizo juu zaidi ya zote, nguvu za Yehova Mwenyezi Mungu.
Mungu ni mkuu, nguvu zote ni zake. Mungu hawezi kulinganishwa na yeyote yule. Nguvu za Mungu ziko juu ya yote duniani, mbinguni na juu ya viumbe vyote- Isaya 45:21.
Nguvu za Mungu ziko katika Yesu Kristo. Yesu Kristo amepewa jina lililo juu ya majina yote, uwezo na nguvu zote mbinguni na duniani- Mathayo 28:18.
Hebu tuone:-
MWISHO
Masharti ya kupata nguvu za Mungu;
TEXT: LUKE 2:1-14. The birth of Jesus Christ shattered spiritual, social and eternal barriers,…
TEXT: JOHN 3:16-17. Christmas unveils the divine mission behind the birth of Jesus Christ;…
MFULULIZO: KRISMASI NI KUFUNULIWA KWA YESU KRISTO. SOMO: LUKA 2:8-14. Krismasi inafunua jibu la…
SERIES: CHRISTMAS IS CHRIST. TEXT: JOHN 1:1-14. Christmas is the divine moment when God…
TEXT: ISAIAH 53:1-12. The son of man came to seek and save that which…
SERIES: CHRISTMAS IS JESUS CHRIST. TEXT: MATTHEW 1:21 Jesus Christ is the savior of…