SOMO: MATHAYO 12:29; 16:18-19
LUKA 11:21-22
UTANGULIZI
Jina la Bwana ni ngome imara, mwenye haki hukimbilia akawa salama. Kwa sababu tumekimbilia ngome hilo na nguvu zake, hivyo anaye tufuatia anapoteza nguvu zake. EE, Bwana vunja kila nguvu za kuzimu zinazotudharau. Neno lasema katika (Wakolosai 2:15) “Akiisha kuzivua Enzi na mamlaka na kuzifanya kuwa mkogo kwa ujasiri, akizishangilia katika msalaba huo”. Katika somo hili, maneno matatu ni dhairi “Kufunga, kufungua na kuteka”
Hebu tujifunze juu ya Ukombozi:-
I. KUFUNGA
II. BASI VITU GANI KUFUNGA.
III. NI NANI ANAYE NGEUZA NDOTO ZETU?
IV. MAANA YAKE KUFUNGUA.
V. MAANA YAKE KUTEKA.
VI. BASI, KWA NINI KUFUNGA, KUFUNGUA NA KUTEKA ?
MWISHO
Omba:
MFULULIZO: MAISHA BILA VIZUIZI. SOMO: ZABURI 46:1. Biblia inatuakikishia kwamba Mungu wetu ni “Msaada…
SERIES: THE GOD WHO NEVER FAILS. TEXT: PROVERBS 3:5-6. Every destiny is a divine…
SERIES: THROUGH THE BOOK OF COLOSSIANS. TEXT: Colossians 3:5-10 We have put off the…
SERIES: THE GOD WE SERVE TEXT: 2nd SAMUEL 5:17-20 Breakthroughs are divine interventions that…
SERIES: DRAWING NEAR TO GOD TEXT: LAMENTATIONS 3:37 It reminds believers that God's word alone…
MFULULIZO: MAISHA BILA VIZUIZI. SOMO: 1 YOHANA 5:4. Wakristo wengi wanaishi maisha ya kushindwa…
View Comments
MUNGU WA MBINGUNI akubariki kwa somo zuri nimejifunza kitu hapo mtumishi wa MUNGU.
Ansante kwa somo zuri na MUNGU wa mbinguni akubariki kwa mafundisho mazuri.
Nimebarikiwa sana sana Amina.