SOMO: MATHAYO 12:29; 16:18-19
LUKA 11:21-22
UTANGULIZI
Jina la Bwana ni ngome imara, mwenye haki hukimbilia akawa salama. Kwa sababu tumekimbilia ngome hilo na nguvu zake, hivyo anaye tufuatia anapoteza nguvu zake. EE, Bwana vunja kila nguvu za kuzimu zinazotudharau. Neno lasema katika (Wakolosai 2:15) “Akiisha kuzivua Enzi na mamlaka na kuzifanya kuwa mkogo kwa ujasiri, akizishangilia katika msalaba huo”. Katika somo hili, maneno matatu ni dhairi “Kufunga, kufungua na kuteka”
Hebu tujifunze juu ya Ukombozi:-
I. KUFUNGA
II. BASI VITU GANI KUFUNGA.
III. NI NANI ANAYE NGEUZA NDOTO ZETU?
IV. MAANA YAKE KUFUNGUA.
V. MAANA YAKE KUTEKA.
VI. BASI, KWA NINI KUFUNGA, KUFUNGUA NA KUTEKA ?
MWISHO
Omba:
TEXT: LUKE 2:1-14. The birth of Jesus Christ shattered spiritual, social and eternal barriers,…
TEXT: JOHN 3:16-17. Christmas unveils the divine mission behind the birth of Jesus Christ;…
MFULULIZO: KRISMASI NI KUFUNULIWA KWA YESU KRISTO. SOMO: LUKA 2:8-14. Krismasi inafunua jibu la…
SERIES: CHRISTMAS IS CHRIST. TEXT: JOHN 1:1-14. Christmas is the divine moment when God…
TEXT: ISAIAH 53:1-12. The son of man came to seek and save that which…
SERIES: CHRISTMAS IS JESUS CHRIST. TEXT: MATTHEW 1:21 Jesus Christ is the savior of…
View Comments
MUNGU WA MBINGUNI akubariki kwa somo zuri nimejifunza kitu hapo mtumishi wa MUNGU.
Ansante kwa somo zuri na MUNGU wa mbinguni akubariki kwa mafundisho mazuri.
Nimebarikiwa sana sana Amina.