I WAFALME 2:1-4
UTANGULIZI
Katika mwaka 1555, Hugh Latimer na Nicholas Ridley walitoka gerezani kwa mara ya mwisho. Walihukumiwa mauti kwa kuchomwa moto kwa sababu walikataa kumkana Yesu Kristo na kukataa Imani yao katika Kristo. Walipokaribia motoni, Latimer alimwambia Ridley “Furahini, Ridley simama kiume. Leo tutahakisha taa hakuna mtu atakaye zima, kwa neema ya Mungu”. Latimer alikuwa amesoma hayo kutoka kwa mfalme Daudi (V.2).
Leo tujifunze juu ya jukumu nne za mwanaume. Hapo mwanzo Mungu alimuumba (Mwanzo 2:7). Mungu alimpa Adamu jukumu (v.15) kulima na kutunza. “zaeni mkaongezeke, mkaijaze nchi na kutiisha, mkatawale” (Dominion) (Mwanzo 1:28). Onyo (Mwanzo 2:17) Adamu aliangusha mwanadamu, hivyo mwanaume amekuwa katika kuangaika tangu siku hio.Tutazame nguzo nne za moyo wa mwanaume:-
I. KIONGOZI WA JAMII– KIONGOZI (Leader)
Lakini Joshua Jemedari alikuwa kiongozi mwema (Yoshua 24:14-15)
II. SHUJAA WA VITA (Warrior)
III. MWALIMU- (Mentor)
IV. RAFIKI MWEMA (Friend) Mwanzo 2:18
MWISHO
Kuwa mwanaume:
MFULULIZO: MAISHA BILA VIZUIZI. SOMO: ZABURI 46:1. Biblia inatuakikishia kwamba Mungu wetu ni “Msaada…
SERIES: THE GOD WHO NEVER FAILS. TEXT: PROVERBS 3:5-6. Every destiny is a divine…
SERIES: THROUGH THE BOOK OF COLOSSIANS. TEXT: Colossians 3:5-10 We have put off the…
SERIES: THE GOD WE SERVE TEXT: 2nd SAMUEL 5:17-20 Breakthroughs are divine interventions that…
SERIES: DRAWING NEAR TO GOD TEXT: LAMENTATIONS 3:37 It reminds believers that God's word alone…
MFULULIZO: MAISHA BILA VIZUIZI. SOMO: 1 YOHANA 5:4. Wakristo wengi wanaishi maisha ya kushindwa…