I WAFALME 2:1-4
UTANGULIZI
Katika mwaka 1555, Hugh Latimer na Nicholas Ridley walitoka gerezani kwa mara ya mwisho. Walihukumiwa mauti kwa kuchomwa moto kwa sababu walikataa kumkana Yesu Kristo na kukataa Imani yao katika Kristo. Walipokaribia motoni, Latimer alimwambia Ridley “Furahini, Ridley simama kiume. Leo tutahakisha taa hakuna mtu atakaye zima, kwa neema ya Mungu”. Latimer alikuwa amesoma hayo kutoka kwa mfalme Daudi (V.2).
Leo tujifunze juu ya jukumu nne za mwanaume. Hapo mwanzo Mungu alimuumba (Mwanzo 2:7). Mungu alimpa Adamu jukumu (v.15) kulima na kutunza. “zaeni mkaongezeke, mkaijaze nchi na kutiisha, mkatawale” (Dominion) (Mwanzo 1:28). Onyo (Mwanzo 2:17) Adamu aliangusha mwanadamu, hivyo mwanaume amekuwa katika kuangaika tangu siku hio.Tutazame nguzo nne za moyo wa mwanaume:-
I. KIONGOZI WA JAMII– KIONGOZI (Leader)
Lakini Joshua Jemedari alikuwa kiongozi mwema (Yoshua 24:14-15)
II. SHUJAA WA VITA (Warrior)
III. MWALIMU- (Mentor)
IV. RAFIKI MWEMA (Friend) Mwanzo 2:18
MWISHO
Kuwa mwanaume:
TEXT: LUKE 2:1-14. The birth of Jesus Christ shattered spiritual, social and eternal barriers,…
TEXT: JOHN 3:16-17. Christmas unveils the divine mission behind the birth of Jesus Christ;…
MFULULIZO: KRISMASI NI KUFUNULIWA KWA YESU KRISTO. SOMO: LUKA 2:8-14. Krismasi inafunua jibu la…
SERIES: CHRISTMAS IS CHRIST. TEXT: JOHN 1:1-14. Christmas is the divine moment when God…
TEXT: ISAIAH 53:1-12. The son of man came to seek and save that which…
SERIES: CHRISTMAS IS JESUS CHRIST. TEXT: MATTHEW 1:21 Jesus Christ is the savior of…