MFULULIZO: DANIELI-MUNGU NDIYE HAKIMU.
SOMO: DANIELI 2:31-49
Leo tunatazama unabii aliouona mfalme Nebukadreza katika ndoto ya yule sanamu. Nebukadreza aliota ndoto iliyomsumbua maisha yake.
Kitabu cha Danieli ni msingi ya unabii wa Biblia. Ufunuo ni tafsiri ya ule unabii. Leo tunatazama historia na Biblia kuonyesha jinsi Biblia ni kitabu cha ajabu-Danieli 2:31. Mfalme Nebukadreza alistaajabu sana kijana Danieli alipoeleza ile ndoto yake. Danieli 2:36-38, ndiyo maana yake ile ndoto ya mfalme Nebukadreza. Nebukadreza alipendezwa kwamba katika ile tafsiri yeye ndiye “dhahabu” Danieli 2:39-45, baada ya falme hizo, Mungu wa mbinguni ataweka ufalme usioweza kuaribika, ufalme usioweza kumilikiwa na watu, ufalme wa milele.
FALME ZA WATU WA MATAIFA.
UFALME WA MUNGU
YESU KRISTO NDIYE
MWISHO
TEXT: LUKE 2:1-14. The birth of Jesus Christ shattered spiritual, social and eternal barriers,…
TEXT: JOHN 3:16-17. Christmas unveils the divine mission behind the birth of Jesus Christ;…
MFULULIZO: KRISMASI NI KUFUNULIWA KWA YESU KRISTO. SOMO: LUKA 2:8-14. Krismasi inafunua jibu la…
SERIES: CHRISTMAS IS CHRIST. TEXT: JOHN 1:1-14. Christmas is the divine moment when God…
TEXT: ISAIAH 53:1-12. The son of man came to seek and save that which…
SERIES: CHRISTMAS IS JESUS CHRIST. TEXT: MATTHEW 1:21 Jesus Christ is the savior of…