MFULULIZO: DANIELI-MUNGU NDIYE HAKIMU.
SOMO: DANIELI 2:31-49
Leo tunatazama unabii aliouona mfalme Nebukadreza katika ndoto ya yule sanamu. Nebukadreza aliota ndoto iliyomsumbua maisha yake.
Kitabu cha Danieli ni msingi ya unabii wa Biblia. Ufunuo ni tafsiri ya ule unabii. Leo tunatazama historia na Biblia kuonyesha jinsi Biblia ni kitabu cha ajabu-Danieli 2:31. Mfalme Nebukadreza alistaajabu sana kijana Danieli alipoeleza ile ndoto yake. Danieli 2:36-38, ndiyo maana yake ile ndoto ya mfalme Nebukadreza. Nebukadreza alipendezwa kwamba katika ile tafsiri yeye ndiye “dhahabu” Danieli 2:39-45, baada ya falme hizo, Mungu wa mbinguni ataweka ufalme usioweza kuaribika, ufalme usioweza kumilikiwa na watu, ufalme wa milele.
FALME ZA WATU WA MATAIFA.
UFALME WA MUNGU
YESU KRISTO NDIYE
MWISHO
MFULULIZO: MAISHA BILA VIZUIZI. SOMO: ZABURI 46:1. Biblia inatuakikishia kwamba Mungu wetu ni “Msaada…
SERIES: THE GOD WHO NEVER FAILS. TEXT: PROVERBS 3:5-6. Every destiny is a divine…
SERIES: THROUGH THE BOOK OF COLOSSIANS. TEXT: Colossians 3:5-10 We have put off the…
SERIES: THE GOD WE SERVE TEXT: 2nd SAMUEL 5:17-20 Breakthroughs are divine interventions that…
SERIES: DRAWING NEAR TO GOD TEXT: LAMENTATIONS 3:37 It reminds believers that God's word alone…
MFULULIZO: MAISHA BILA VIZUIZI. SOMO: 1 YOHANA 5:4. Wakristo wengi wanaishi maisha ya kushindwa…