SOMO: ISAYA 54:1-17
Bwana asifiwe. Saa inayoyoma upesi, kwa saa chache tutaingia mwaka mpya 2024. Tunatazamia kuingia mwaka mpya kwa maana Mungu amekuwa mwaminifu kwa mwaka huu wa 2023. Basi tunyanyue mikono yetu na kumpa Bwana shangwe na shukrani kwa uaminifu wake mwaka wa 2023.
Leo ndio Jumapili ya mwisho ya mwaka!! Kwa Jumapili zote 52 Mungu amekuwa mwaminifu kwetu.
Mungu anapenda leo tuangazie juu ya kupanua mahali pa hema zetu. Mungu anaenda kutupanulia mipaka yetu katika kila eneo ya maisha- Isaya 54:2-3.
Mungu anapenda maisha yako yaendelee mbele. Hivyo Mungu anao mpango wa ajabu kukubarikia katika kila eneo ndani ya maisha yako.
Pengine umepitia maovu na magumu katika mwaka huu wa 2023, pengine hukuona mabadiliko yoyote katika mwaka huu lakini leo Mungu anakupa ahadi ya kwamba anakupangia mema na atakuleta mahali pa nguvu na uwezo na ufanisi.
Natabiri kwamba maisha yako yanaenda kuingia katika nyakati mpya na msimu wa raha na nguvu zake.
TAMBUA MAISHA YAKO YA SASA
AHADI YA MUNGU- UPANUZI
JINSI YA KUPOKEA UPANUZI WA MAISHA YAKO
MATOKEO YA KUPANUA MAHALI PA HEMA YAKO
MWISHO
MFULULIZO: MAISHA BILA VIZUIZI. SOMO: ZABURI 46:1. Biblia inatuakikishia kwamba Mungu wetu ni “Msaada…
SERIES: THE GOD WHO NEVER FAILS. TEXT: PROVERBS 3:5-6. Every destiny is a divine…
SERIES: THROUGH THE BOOK OF COLOSSIANS. TEXT: Colossians 3:5-10 We have put off the…
SERIES: THE GOD WE SERVE TEXT: 2nd SAMUEL 5:17-20 Breakthroughs are divine interventions that…
SERIES: DRAWING NEAR TO GOD TEXT: LAMENTATIONS 3:37 It reminds believers that God's word alone…
MFULULIZO: MAISHA BILA VIZUIZI. SOMO: 1 YOHANA 5:4. Wakristo wengi wanaishi maisha ya kushindwa…