SOMO: MAOMBOLEZO 3:22-24.
Tunahitaji rehema za Mungu kuishi, ulinzi na kupandishwa katika kila eneo katika maisha yetu.
Safari ya maisha ni ngumu kueleza wakati mwingine mambo yanatujia bila repoti.
Wakati mwingine si walio na nguvu wanapona, si kila wenye hekima na akili, si kila wenye fedha na mali wanapona lakini wale tu wanaongojea rehema zake Mungu-(1 Samweli 2:9)
Rehema ni moja ya tabia za Mungu. Kwa rehema zake Mungu hawawezi kuwaacha wanyonge katika shida na udhaifu wao-Hesabu 14:18.
Kwa mwaka wote wa 2024, tumemwona Mungu, rehema zake zilikuwa dhahiri katika Maisha yetu. Kwa kweli hatukuangamia-1 Wakorintho 4:7-11.
Hebu tutazame;
MSINGI WA BIBILIA . TUNALIDWA NA NEEMA ZAKE.
UKWELI MKUU JINSI NEEMA NA REHEMA ZA MUNGU ZINAWALINDA WATU.
NJIA ZA KUTEKELEZA REHEMA ZAKE MUNGU.
MWISHO
TEXT: LUKE 2:1-14. The birth of Jesus Christ shattered spiritual, social and eternal barriers,…
TEXT: JOHN 3:16-17. Christmas unveils the divine mission behind the birth of Jesus Christ;…
MFULULIZO: KRISMASI NI KUFUNULIWA KWA YESU KRISTO. SOMO: LUKA 2:8-14. Krismasi inafunua jibu la…
SERIES: CHRISTMAS IS CHRIST. TEXT: JOHN 1:1-14. Christmas is the divine moment when God…
TEXT: ISAIAH 53:1-12. The son of man came to seek and save that which…
SERIES: CHRISTMAS IS JESUS CHRIST. TEXT: MATTHEW 1:21 Jesus Christ is the savior of…