KUMBUKUMBU 29:18, MATHAYO 15:13
UTANGULIZI
Shina la kitu lina maana nyingi. Shina ni chanzo cha mtu hau kitu. Shina ni msingi, nanga, mwanzo hau katikati ya kitu hau mtu. Katika kumbukumbu 29:18, Bwana anasema kusiwe na mtu mume hau mke mwenye shina lizaalo uchungu na pakanga (wormwood). Uchungu ni sumu kali hau nyongo. Katika Warumi 11:16– kama shina ni takatifu mti ni takatifu. Shina linapokuwa mbaya, matunda yake yana kuwa mbaya.(Kulikuwa na mwanamke msomi na tajiri, lakini aliabudu nyoka kwa siri. Nyoka alipokufa naye akafa, binti zake watatu waliokuwa wameshindwa ndoa walirudi kwa mume zao)
Hebu tuone:-
I. SHINA NI NINI?
II. ISHARA ZA SHINA LILILOUMIZWA
III. NGUVU ZINAZOCHANGIA;
IV. JINSI YA KUTIBU SHINA LILILOUMIA,
MWISHO
Omba:
MFULULIZO: MAISHA BILA VIZUIZI. SOMO: ZABURI 46:1. Biblia inatuakikishia kwamba Mungu wetu ni “Msaada…
SERIES: THE GOD WHO NEVER FAILS. TEXT: PROVERBS 3:5-6. Every destiny is a divine…
SERIES: THROUGH THE BOOK OF COLOSSIANS. TEXT: Colossians 3:5-10 We have put off the…
SERIES: THE GOD WE SERVE TEXT: 2nd SAMUEL 5:17-20 Breakthroughs are divine interventions that…
SERIES: DRAWING NEAR TO GOD TEXT: LAMENTATIONS 3:37 It reminds believers that God's word alone…
MFULULIZO: MAISHA BILA VIZUIZI. SOMO: 1 YOHANA 5:4. Wakristo wengi wanaishi maisha ya kushindwa…