MFULULIZO: TUMAINI HAI
SOMO: 1ST PETRO 3:14-16
Wakristo wa Karne ya kwanza waliteseka sana kwa ajili ya imani yao ndani ya Yesu Kristo. Pamoja na kuteswa sana hawa Wakristo walikuwa na tumaini kubwa. Petro anawaandikia kwamba wawe na moyo mkuu na kushuhudia tumaini lao kwa kila mtu. Leo tunatazama njia za kushiriki na kuwashuhudia watu wote tumaini lililoko ndani yetu. Kila wakati na tuwe tayari kushuhudia watu wote tumaini letu.
Hebu tuone:-
MTAKASENI KRISTO BWANA MIOYONI YENU-(1st PETRO 3:14).
UWE TAYARI KUWAELEZEA WATU WOTE KIINI CHA TUMAINI LILILO NDANI YAKO-(1st PETRO 3:15).
MUWE NA UPOLE, HOFU NA DHAMIRI NJEMA-(1st PETRO 3:16).
MWISHO.
TEXT: LUKE 2:1-14. The birth of Jesus Christ shattered spiritual, social and eternal barriers,…
TEXT: JOHN 3:16-17. Christmas unveils the divine mission behind the birth of Jesus Christ;…
MFULULIZO: KRISMASI NI KUFUNULIWA KWA YESU KRISTO. SOMO: LUKA 2:8-14. Krismasi inafunua jibu la…
SERIES: CHRISTMAS IS CHRIST. TEXT: JOHN 1:1-14. Christmas is the divine moment when God…
TEXT: ISAIAH 53:1-12. The son of man came to seek and save that which…
SERIES: CHRISTMAS IS JESUS CHRIST. TEXT: MATTHEW 1:21 Jesus Christ is the savior of…