MFULULIZO: TUMAINI HAI
SOMO: 1ST PETRO 3:14-16
Wakristo wa Karne ya kwanza waliteseka sana kwa ajili ya imani yao ndani ya Yesu Kristo. Pamoja na kuteswa sana hawa Wakristo walikuwa na tumaini kubwa. Petro anawaandikia kwamba wawe na moyo mkuu na kushuhudia tumaini lao kwa kila mtu. Leo tunatazama njia za kushiriki na kuwashuhudia watu wote tumaini lililoko ndani yetu. Kila wakati na tuwe tayari kushuhudia watu wote tumaini letu.
Hebu tuone:-
MTAKASENI KRISTO BWANA MIOYONI YENU-(1st PETRO 3:14).
UWE TAYARI KUWAELEZEA WATU WOTE KIINI CHA TUMAINI LILILO NDANI YAKO-(1st PETRO 3:15).
MUWE NA UPOLE, HOFU NA DHAMIRI NJEMA-(1st PETRO 3:16).
MWISHO.
SERIES: THE ANOINTING. TEXT: EZEKIEL 47:1-5 There are levels of the anointing and each…
MFULULIZO: AGANO LA UTAKASO. SOMO: ESTA 2:15-18. Kibali cha Mungu ndicho kinacho watenga watoto…
SERIES: THE GOD WHO NEVER FAILS. TEXT: HAGGAI 2:6-9. God has the power to…
SERIES: THROUGH THE BOOK OF COLOSSIANS. TEXT: COLOSSIANS 3:16 Christianity is a singing religion.…
SERIES: THE GOD WHO NEVER FAILS. TEXT: ISAIAH 54:17 JEHOVAH God does not abandon…
SERIES: THEY THAT WAIT HAVE EAGLE'S ANOINTING TEXT: ISAIAH 40:31 The eagle symbolizes the…