MFULULIZO: SIONI HAYA
SOMO: 2 TIMOTHEO 2:3-4; 4:7-8
Yesu Kristo alikuwa askari wa sifa katika jeshi la mbinguni. Siku moja maisha yetu yatakwisha hapa duniani. Yesu itakapofika wakati wako, je, utakumbukwa kwa njia gani? Je, utakumbukwa kama askari wa sifa? Mtume Paulo alipomaliza kazi yake duniani alichukua wakati wa kuyaangalia maisha na kazi yake, alimwandikia mchungaji Timotheo na kumwonyesha jinsi ya kuwa askari wa sifa, askari mwema. Ulipookoka, mara hio uliingia katika jeshi la Bwana Yesu Kristo. Hivyo tangu siku hiyo unaishi katika vita. Alama moja ya askari jeshi ni majeraha yake. Tunapofika mbinguni, Kristo atataka sana kuyaona majeraha yetu. Majeraha ya askari mwema yanaonekana kwa uso, kifua, tumbo. Ikiwa majeraha yetu yamo kwa mgongo, tulikuwa askari hoi. Hebu tutazame sifa tano za askari mwema:-
ASKARI WA SIFA NI MFUASI (FOLLOWER)-2 Timotheo 2:3.
Uhusiano (relationship)
Cheo (Rank)
Utawala (Rule)
Uvumulivu wake-2:3 (faithfulness).
Mambo ya muhimu (priorities) 2:4.
Mazoezi yake (practice)-2 Wakorintho 4:7.
ASKARI WA SIFA WA KRISTO ANAFAHAMU (familiar)
Anafahamu sauti ya komanda wake-Yohana 10:3-5.
Anafahamu jinsi ya kutumia silaha zake-Waefeso 6:10-18.
Anafahamu mbinu za adui-2 Wakorinho 11:14; 1 Petro 5:8.
Askari wa Kristo anafahamu kivuli cha askari wenzake-Waebrania 11:25.
ASKARI MWEMA WA KRISTO NI MWENYE VITA-2 Wakorintho 4:7.
Amejitoa-haogopi vita.
Anavutiwa na vita na kuzipenda.
Anatimiza kiapo chake cha askari kila wakati.
ASKARI WA SIFA ANAMALIZA VITA VYEMA-2 Tim. 4:7-8.
MWISHO
MFULULIZO: MAISHA BILA VIZUIZI. SOMO: ZABURI 46:1. Biblia inatuakikishia kwamba Mungu wetu ni “Msaada…
SERIES: THE GOD WHO NEVER FAILS. TEXT: PROVERBS 3:5-6. Every destiny is a divine…
SERIES: THROUGH THE BOOK OF COLOSSIANS. TEXT: Colossians 3:5-10 We have put off the…
SERIES: THE GOD WE SERVE TEXT: 2nd SAMUEL 5:17-20 Breakthroughs are divine interventions that…
SERIES: DRAWING NEAR TO GOD TEXT: LAMENTATIONS 3:37 It reminds believers that God's word alone…
MFULULIZO: MAISHA BILA VIZUIZI. SOMO: 1 YOHANA 5:4. Wakristo wengi wanaishi maisha ya kushindwa…