MFULILIZO: MUNGU NI PENDO
SOMO: MALAKI 4
Tangu dunia hii kuumbwa kumekuwa na siku ya hukumu ya Mungu juu ya watu wake na mataifa ya ulimwengu. Lakini kuna siku ya hukumu ya mwisho. Siku hio inaitwa “siku ya Bwana” siku hio inakuwa mwanzo wa hukumu, kilio na kuomboleza kwa wote wasio okoka. Katika vita vya dunia vya pili (WW II) majeshi ya pamoja na muungano (Allied forces) walifahamia sehemu mbalimbali za juropa, lakini tarehe 6 Juni 1944 iliitwa siku ya vita kali yaani (D-Day).
Neno la Malaki linapinga mafundisho ya:-
I. NI SIKU YA USONI, (It is Future Day)
II. ITAKUWA SIKU YA KUONGOFYA SANA
(Isaya 10:16, 30:27, Yeremia 21:11-14, Yoeli 2:1-3, Sefania 1:14-18)
III. ITAKUWA SIKU YA MWISHO
MWISHO
MFULULIZO: AGANO LA UTAKASO. SOMO: KUTOKA 12:12-13. Damu ya Yesu Kristo ndiyo mhuri wa…
SERIES: SUPERNATURAL ADVANCEMENT. TEXT: HABAKKUK 3:19. The journey of fulfilling your destiny does not…
SERIES: THROUGH THE BOOK OF COLOSSIANS. TEXT: COLOSSIANS 3:15 Thankfulness is a great attitude…
SERIES: THE ANOINTING. TEXT: EZEKIEL 47:1-5 There are levels of the anointing and each…
MFULULIZO: AGANO LA UTAKASO. SOMO: ESTA 2:15-18. Kibali cha Mungu ndicho kinacho watenga watoto…
SERIES: THE GOD WHO NEVER FAILS. TEXT: HAGGAI 2:6-9. God has the power to…