LUKA 2:25-35
UTANGILIZI
Simeoni alikuwa moja ya wale Mungu aliwaficha, wakati wa giza kuu ulimwenguni. Miaka 400 ya kimya cha Mungu. Mbingu ilifungwa kutoka Malaki mpaka mathayo. Lakini katika hayo yote Simeoni alitembea na Bwana katika nguvu za roho mtakatifu. Lakini sasa Mungu amemleta Simeoni katika nuru, Simeoni aliomba kwa siri, lakini sasa Mungu amemzawadi adharani. Simeoni alimtumikia Bwana kwa kungonja, matarajio ya faraja ya Mungu. Yesu Kristo ndiye faraja ya watakatifu. Hebu tuone:-
I. ONA UTAKATIFU WA SIMEONI
II. SIKIA USHUHUDA WA MZEE SIMEONI
III. SIKIA UNABII WA SIMEONI (V.34-35
MWISHO
MFULULIZO: MAISHA BILA VIZUIZI. SOMO: ZABURI 46:1. Biblia inatuakikishia kwamba Mungu wetu ni “Msaada…
SERIES: THE GOD WHO NEVER FAILS. TEXT: PROVERBS 3:5-6. Every destiny is a divine…
SERIES: THROUGH THE BOOK OF COLOSSIANS. TEXT: Colossians 3:5-10 We have put off the…
SERIES: THE GOD WE SERVE TEXT: 2nd SAMUEL 5:17-20 Breakthroughs are divine interventions that…
SERIES: DRAWING NEAR TO GOD TEXT: LAMENTATIONS 3:37 It reminds believers that God's word alone…
MFULULIZO: MAISHA BILA VIZUIZI. SOMO: 1 YOHANA 5:4. Wakristo wengi wanaishi maisha ya kushindwa…