SOMO: ZABURI 29:11
UTANGULIZI
Amani timilifu, Amani ya ndani inapatikana katika ushirika na Mungu. Uhuru wa kweli wakati wote kutoka na kila shida ya kiroho na mwili hutoka kwa Mungu pekee. Zaburi 29:11- “Bwana Atawapa Watu Wake Nguvu; Bwana Atawabariki Watu Wake Kwa Amani”.
Ndoa nyingi, nyumba nyingi na mahali pa kazi pamekuwa uwanja wa vita kwa watu wengi sana. Hali ya fedha imezorota kwa wengi na watu wengi wanaishi katika deni. Mataifa mengi yanatafuta Amani na vita 53 zaendelea duniani hivi leo.
Lakini Bwana asema hivi— “Bwana atawapa watu wake nguvu, Bwana atawabariki watu wake kwa Amani”
Hebu Tujiifunze:-
I. AMANI YA KWELI HUTOKA KWA MUNGU (Isaya 26:3)
II. VITA VYA KIROHO VINAENDELEA KATIKA ULIMWENGU WA ROHO.
III. MATESO YA WATEULE YAKO NA KIKOMO CHAKE (Zab.125:3)
MWISHO
TEXT: LUKE 2:1-14. The birth of Jesus Christ shattered spiritual, social and eternal barriers,…
TEXT: JOHN 3:16-17. Christmas unveils the divine mission behind the birth of Jesus Christ;…
MFULULIZO: KRISMASI NI KUFUNULIWA KWA YESU KRISTO. SOMO: LUKA 2:8-14. Krismasi inafunua jibu la…
SERIES: CHRISTMAS IS CHRIST. TEXT: JOHN 1:1-14. Christmas is the divine moment when God…
TEXT: ISAIAH 53:1-12. The son of man came to seek and save that which…
SERIES: CHRISTMAS IS JESUS CHRIST. TEXT: MATTHEW 1:21 Jesus Christ is the savior of…