SOMO: ZABURI 29:11
UTANGULIZI
Amani timilifu, Amani ya ndani inapatikana katika ushirika na Mungu. Uhuru wa kweli wakati wote kutoka na kila shida ya kiroho na mwili hutoka kwa Mungu pekee. Zaburi 29:11- “Bwana Atawapa Watu Wake Nguvu; Bwana Atawabariki Watu Wake Kwa Amani”.
Ndoa nyingi, nyumba nyingi na mahali pa kazi pamekuwa uwanja wa vita kwa watu wengi sana. Hali ya fedha imezorota kwa wengi na watu wengi wanaishi katika deni. Mataifa mengi yanatafuta Amani na vita 53 zaendelea duniani hivi leo.
Lakini Bwana asema hivi— “Bwana atawapa watu wake nguvu, Bwana atawabariki watu wake kwa Amani”
Hebu Tujiifunze:-
I. AMANI YA KWELI HUTOKA KWA MUNGU (Isaya 26:3)
II. VITA VYA KIROHO VINAENDELEA KATIKA ULIMWENGU WA ROHO.
III. MATESO YA WATEULE YAKO NA KIKOMO CHAKE (Zab.125:3)
MWISHO
MFULULIZO: MAISHA BILA VIZUIZI. SOMO: ZABURI 46:1. Biblia inatuakikishia kwamba Mungu wetu ni “Msaada…
SERIES: THE GOD WHO NEVER FAILS. TEXT: PROVERBS 3:5-6. Every destiny is a divine…
SERIES: THROUGH THE BOOK OF COLOSSIANS. TEXT: Colossians 3:5-10 We have put off the…
SERIES: THE GOD WE SERVE TEXT: 2nd SAMUEL 5:17-20 Breakthroughs are divine interventions that…
SERIES: DRAWING NEAR TO GOD TEXT: LAMENTATIONS 3:37 It reminds believers that God's word alone…
MFULULIZO: MAISHA BILA VIZUIZI. SOMO: 1 YOHANA 5:4. Wakristo wengi wanaishi maisha ya kushindwa…