I TIMOTHEO 1:12-17
UTANGULIZI
Baada ya kuhubiri miaka mitatu pale Efeso, paul aliacha kanisa la Efeso mikononi mwa mhubiri kijana Timotheo. (Matendo 19) Timotheo alikuwa kijana, alipata shida si haba katika uchungaji. Kwanza waalimu wa uongo walikuwa katika kanisa la Efeso (1:18-20) mafundisho ya uongo (1:3-7) ghasia katika ibada (2:1-15) viongozi kanisani (3:1-14) na tamaa ya mali (6:6-19). Pamoja na hayo wengine waliona Timetheo akiwa kijana sana kwa umri wake (4:12). Timotheo alikuwa miaka 30, lakini wagiriki waliamini kwamba mtu anakuwa mwanaume kamili akiitimu umri wa miaka 40!! Timotheo pia alikuwa na shida ya kuvunjika moyo na kukata tamaa hivyo Paulo anaandika waraka huu kumpa moyo Timotheo. Kwa kumtia nguvu Timotheo, Paulo alijitumia kama mfano wa neema na rehema za Mungu katika maisha yake. Tazama jinsi Mungu amenitendea kwa nehema na Rehema zake kwangu.
Hebu basi tutazame:
I. USHUHUDA WA MWENYE DHAMBI (I Tim.1:13,15)
Hivi ndivyo sisi sote tulikuwa jeuri sana
II. USHUHUDA WA MTAKATIFU (I Timotheo 1:13-14)
III. USHUHUDA WA MTUMISHI WA MUNGU (I Tim.1:12)
Sababu ya huduma– ni “kuwekwa”
IV. USHUHUDA WA KIELELEZO CHEMA CHA HUDUMA (I Tim.1:16)
V. USHUHUDA WA KIONGOZI WA NYIMBO (Song leader) (I Tim.1:17)
Hivyo
MWISHO
MFULULIZO: AGANO LA UTAKASO. SOMO: KUTOKA 12:12-13. Damu ya Yesu Kristo ndiyo mhuri wa…
SERIES: SUPERNATURAL ADVANCEMENT. TEXT: HABAKKUK 3:19. The journey of fulfilling your destiny does not…
SERIES: THROUGH THE BOOK OF COLOSSIANS. TEXT: COLOSSIANS 3:15 Thankfulness is a great attitude…
SERIES: THE ANOINTING. TEXT: EZEKIEL 47:1-5 There are levels of the anointing and each…
MFULULIZO: AGANO LA UTAKASO. SOMO: ESTA 2:15-18. Kibali cha Mungu ndicho kinacho watenga watoto…
SERIES: THE GOD WHO NEVER FAILS. TEXT: HAGGAI 2:6-9. God has the power to…