I WAFALME 18:30-39
UTANGULIZI
Tunapotazama hali ilivyo katika kanisa mahali popote duniani leo, tunaona udhaifu, kutojitoa na kudidimia kwingi sana. katika makanisa mengi moto wa ufufuo na kuuishwa upya kumezimika kwa sababu dhambi, mwili na shetani amekolea sana. Shida si mchugaji hau ratiba ya kanisa. Shida hasa ni madhabahu yaliyovunjika katika maisha ya wateule wa Bwana. Sababu kuu ya madhabahu ni ibada, sadaka, matoleo,kusanyiko ya watu wa Mungu, kukutana na Mungu na kutengeneza agano na Mungu. Madhabahu ni mahali pa kukutana; Mungu na mwanadamu, kukutana katika mwenye mwili na Roho Mtakatifu. Kila mtu aliyeokoka na asiye okoka anafahamu kwamba mambo ya Roho ndiyo yanasimamia mambo ya khadri (The Spiritual controls the Physical). Hivyo ndivyo wasio na Kristo wanatafuta sana kuwasiliana na nguvu za giza, hivyo wanaoga na sabuni maalumu na kujipaka manukato maalum hili kuvutia maroho kuwasaidia.
Madhabahu ni mahali pakukutana Roho na wenye mwili, iwe ni kukutana na Mungu wa Mbinguni hau shetani na mapepo. Hivyo ndivyo ilivyokuwa wakati wa Eliya, soma tena. Madhabahu ya Mungu yalikuwa yamefanywa madhabahu ya Baali.
Hebu tuone:
I. SABABU YA KUTENGENEZA MADHABAHU YA BWANA.
II. MASHARTI YA KUTENGENEZA MADHABAHU YA BWANA.
III. UFUFUO KWA KUTENGENEZA MADHABAHU YA BWANA.
MWISHO
MFULULIZO: AGANO LA UTAKASO. SOMO: KUTOKA 12:12-13. Damu ya Yesu Kristo ndiyo mhuri wa…
SERIES: SUPERNATURAL ADVANCEMENT. TEXT: HABAKKUK 3:19. The journey of fulfilling your destiny does not…
SERIES: THROUGH THE BOOK OF COLOSSIANS. TEXT: COLOSSIANS 3:15 Thankfulness is a great attitude…
SERIES: THE ANOINTING. TEXT: EZEKIEL 47:1-5 There are levels of the anointing and each…
MFULULIZO: AGANO LA UTAKASO. SOMO: ESTA 2:15-18. Kibali cha Mungu ndicho kinacho watenga watoto…
SERIES: THE GOD WHO NEVER FAILS. TEXT: HAGGAI 2:6-9. God has the power to…
View Comments
Nimebarikiwa sana na neno ya madhabahu
Ubarikiwe mtumishi, nimebarikiwa na ujumbe