MFULULIZO: SIONI HAYA KWA BWANA.
SOMO: YEREMIA 6:16; 2 TIMOTHEO 4:1-4
Tunahitaji mapito ya zamani kwa sababu mapito ya zamani ndio yale tuliyapokea kutoka kwa Mungu Baba na ndiyo yatakayo timiza kazi ya Yesu Kristo. Tunaishi katika nyakati hatari. Nyakati ambazo watu wamekataa mapito ya zamani.
Mapito ya zamani aliyapitia Habeli, Sethi, Methusela, Nuhu, Ibrahimu, Isaka, Yakobo, Daudi, Isaya, Yeremia, Petro, Paulo, Yohana na Mitume.
Mapito ya zamani ni mapito ya wokovu, ubatizo wa Roho Mtakatifu, msamaha wa dhambi na kiyama ya wafu.
Mapito ya zamani ni kukana dhambi, kutembea katika utakatifu, kumwishia Yesu Kristo, kukaa katika kumgojea Kristo mpaka ajapo.
MAAGIZO KWA WATU WA MUNGU- 2 Timotheo 4:1-2
Hii ni Amri ya kijeshi. Hivyo ni amri ya Paulo kwake Timotheo.
Siku ya hukumu yaja- 2 Wakorintho 5:10; Warumi 14:12.
Maagizo ya Paulo kwa Timotheo.
CHANGAMOTO YA UJUMBE WA MUNGU- 2 Timotheo 4:3
Watakataa neno la Mungu.
Utajipatia walimu makundi makundi.
Mapenzi ya mioyo yao.
Siku na nyakati hizo ni siku za leo.
WATAGEUZA MAPITO YA MUNGU- 4:4
MWISHO
MFULULIZO: AGANO LA UTAKASO. SOMO: KUTOKA 12:12-13. Damu ya Yesu Kristo ndiyo mhuri wa…
SERIES: SUPERNATURAL ADVANCEMENT. TEXT: HABAKKUK 3:19. The journey of fulfilling your destiny does not…
SERIES: THROUGH THE BOOK OF COLOSSIANS. TEXT: COLOSSIANS 3:15 Thankfulness is a great attitude…
SERIES: THE ANOINTING. TEXT: EZEKIEL 47:1-5 There are levels of the anointing and each…
MFULULIZO: AGANO LA UTAKASO. SOMO: ESTA 2:15-18. Kibali cha Mungu ndicho kinacho watenga watoto…
SERIES: THE GOD WHO NEVER FAILS. TEXT: HAGGAI 2:6-9. God has the power to…