MFULULIZO: DANIELI-MUNGU NDIYE MHUKUMU.
SOMO: DANIELI 1:1-21
Mapenzi ya Mungu ni tuwe watu wa kutengeneza historia katika maisha ya watu wengine. Leo tumeanza mfululizo wa jumbe katika kitabu cha nabii Danieli. Mwongozo wa kitabu cha Danieli ni “Mungu anatawala juu ya yote” “God is sovereign.”
Kila mlango katika Danieli unazungumza juu ya ukuu wa Mungu juu ya kila jambo, juu ya kila mtu na kila taifa. Mungu anatawala juu ya kila jambo katika historia jana, leo na hata milele historia ni stori yake Mungu. Hebu tuone:-
Hebu tuone:-
KWANZA TUNAHITAJI KUWEKWA TAYARI (PREPARATION)-Dan. 1:4-5.
PILI-TUNAHITAJI UTAKATIFU (PURITY)-Danieli 1:6-10.
TATU-TUNAHITAJI MAZOEZI (PRACTICE)-Danieli 1:11-16.
NNE-TUNAHITAJI NGUVU ZA MUNGU (POWER)-Danieli 1:17-21.
MWISHO
MFULULIZO: MAISHA BILA VIZUIZI. SOMO: ZABURI 46:1. Biblia inatuakikishia kwamba Mungu wetu ni “Msaada…
SERIES: THE GOD WHO NEVER FAILS. TEXT: PROVERBS 3:5-6. Every destiny is a divine…
SERIES: THROUGH THE BOOK OF COLOSSIANS. TEXT: Colossians 3:5-10 We have put off the…
SERIES: THE GOD WE SERVE TEXT: 2nd SAMUEL 5:17-20 Breakthroughs are divine interventions that…
SERIES: DRAWING NEAR TO GOD TEXT: LAMENTATIONS 3:37 It reminds believers that God's word alone…
MFULULIZO: MAISHA BILA VIZUIZI. SOMO: 1 YOHANA 5:4. Wakristo wengi wanaishi maisha ya kushindwa…