II MAMBO YA NYAKATI 16
I WAFALME 15:9-24
UTANGULIZI
Jumapili iliyopita tulisoma juu ya mfalme Rehoboamu aliye pokea shauri kutoka kwa wajinga.Rehobohamu mwana wa mfalme Sulemani alimzaa mfalme Abija. Abija hakuwa tofauti sana na babaye. Lakini mfalme Asa alimpenda Mungu. Asa alianza vizuri lakini akamalizia vimbaya sana. Watu wengi wanasema hawawezi kufa kabla ya wakati wao kufika. Lakini Biblia inasema kwamba tunaweza kukata hau kuongeza miaka yetu kulingana na jinsi tunavyoishi maisha yetu. Adui asiyeongopa kifo ni adui mbaya sana. Imani yetu ni ya maana sana katika jambo hili. Biblia inasema kwamba mfalme Asa alikufa mbele ya wakati wake.
Hebu tuone kwanini alikufa mbele ya wakati wake (II Mambo ya Nyakati 16:12-14)
I. KWA NINI MFALME ASA ALIKUFA MBELE YA WAKATI WAKE.
II. NGUVU ZA KAMALIZA (Power of the Terminators)
III. JINSI YA KUZIDISHA MAISHA YAKO.
MWISHO
MFULULIZO: MAISHA BILA VIZUIZI. SOMO: ZABURI 46:1. Biblia inatuakikishia kwamba Mungu wetu ni “Msaada…
SERIES: THE GOD WHO NEVER FAILS. TEXT: PROVERBS 3:5-6. Every destiny is a divine…
SERIES: THROUGH THE BOOK OF COLOSSIANS. TEXT: Colossians 3:5-10 We have put off the…
SERIES: THE GOD WE SERVE TEXT: 2nd SAMUEL 5:17-20 Breakthroughs are divine interventions that…
SERIES: DRAWING NEAR TO GOD TEXT: LAMENTATIONS 3:37 It reminds believers that God's word alone…
MFULULIZO: MAISHA BILA VIZUIZI. SOMO: 1 YOHANA 5:4. Wakristo wengi wanaishi maisha ya kushindwa…