MFULULIZO: MAFANIKIO
SOMO: WAFILIPI 4:4-7
Watu wengi furaha yao inategemea vitu na mali walio nayo. Inaonekana kama jinsi mtu alivyo na vitu vingi ndivyo anataka nyingi zaidi. Mtu anavyokuwa na nyingi ndiyo furaha yake inapungua. Lakini kuna watu walio na vitu vichache sana lakini furaha yao ni zaidi kwa nini? Kwa sababu furaha haitegemei vitu na mali. Furaha ni kuridhika, furaha ya ndani isiyotoka kwa vitu, watu na hali.
Mfalme Daudi alisema Zaburi 51:10- “Ee Mungu, uniumbie moyo safi, uifanye upya roho iliyotulia ndani yangu.”
Zaburi 51:12- “Unirudishie furaha ya wokovu wako, unitengeneze kwa roho ya wepesi.”
Mtume Petro katika 1st Petro 1:8 “Naye mwampenda ijapokua hamkumwona, ambaye ijapokuwa hamwoni sasa, mnamwamini na kufurahia sana kwa furaha isiyo neneka yenye utukufu.
Furaha tunayoipata wakati tumeokoka ni furaha isiyo neneka. Hii ni furaha dunia haiwezi kuelewa. Furaha hii inaptikana na waliokoka pekee. Hivyo hatua ya kwanza kuwa na furaha hii, amani na uzima ni kupokea Yesu Kristo katika mioyo yetu. Yesu Kristo ndiye kiini cha furaha isiyiyoneneka. Hivyo Mungu ametupa furaha isiyo neneka lakini shetani ni mwizi wa furaha. Shetani hapendi wakristo wawe na furaha hivyo shetani atayaleta mambo ya kila aina pamoja na kutukumbusha ya kale-Yohana 10:10. Hebu tuone.
WEZI WA FURAHA.
JE, TUTAISHIJE KATIKA FURAHA.
MWISHO
TEXT: LUKE 2:1-14. The birth of Jesus Christ shattered spiritual, social and eternal barriers,…
TEXT: JOHN 3:16-17. Christmas unveils the divine mission behind the birth of Jesus Christ;…
MFULULIZO: KRISMASI NI KUFUNULIWA KWA YESU KRISTO. SOMO: LUKA 2:8-14. Krismasi inafunua jibu la…
SERIES: CHRISTMAS IS CHRIST. TEXT: JOHN 1:1-14. Christmas is the divine moment when God…
TEXT: ISAIAH 53:1-12. The son of man came to seek and save that which…
SERIES: CHRISTMAS IS JESUS CHRIST. TEXT: MATTHEW 1:21 Jesus Christ is the savior of…