MFULULIZO: YAKOBO; ALIFANYA MIEREKA NA MUNGU.
SOMO: MWANZO 25:27-34; WAEBRANIA 12:14-17.
Usiuze urithi wako kama jinsi Esau alifanya. Usiuze ukuhani wako, usiuze ahadi za Mungu, usiuze nguvu zako juu ya dhambi. Lakini kwa imani ukafurahi kwa urithi na haki yako kama mwana wa Mungu. Ishi kama mfalme kwa sababu wewe ni mwana wa mfalme. Esau aliuza urithi wake kwa sababu aliona ule urithi bure. Esau aliuza kitu cha dhamani sana kwa bakuli ya dengu na mkate. Kulingana na desturi za wakati huo, mzaliwa wa kwanza alipata urithi mara dufu. Alipouza ule urithi, Esau alipoteza haki na marupurupu yake yote. Hebu tuone:-
ESAU ALIPOTEZA HAKI YA KUHANI
USIUZE AHADI ZA MUNGU
USIUZE NGUVU ZAKO KAMA MWANA WA MUNGU
MWISHO
MFULULIZO: AGANO LA UTAKASO. SOMO: KUTOKA 12:12-13. Damu ya Yesu Kristo ndiyo mhuri wa…
SERIES: SUPERNATURAL ADVANCEMENT. TEXT: HABAKKUK 3:19. The journey of fulfilling your destiny does not…
SERIES: THROUGH THE BOOK OF COLOSSIANS. TEXT: COLOSSIANS 3:15 Thankfulness is a great attitude…
SERIES: THE ANOINTING. TEXT: EZEKIEL 47:1-5 There are levels of the anointing and each…
MFULULIZO: AGANO LA UTAKASO. SOMO: ESTA 2:15-18. Kibali cha Mungu ndicho kinacho watenga watoto…
SERIES: THE GOD WHO NEVER FAILS. TEXT: HAGGAI 2:6-9. God has the power to…