II MAMBO YA NYAKATI 26
UTANGULIZI
Uzia alikuwa kijana wa miaka 16 alipokuwa mfalme wa Yuda. Alitawala Yuda muda mrefu wa miaka 52. Uzia alifaulu sana kwa maana alikuwa chini ya uongozi wa ushauri wa Zekaria, Nabii aliyekuwa Muonaji. Neno la Zekaria kwa mfalme Uzia ilikuwa hii “mkimwacha Mungu, hamuwezi kufaulu” (II Mambo 24:20). Neno la Mungu lilipenya katika moyo wa uzia tangu ujana wake, Uzia alimtafuta Bwana wakati wa Zekaria (V.5). lakini Zekaria alipofariki, mfalme Uzia alianguka sababu ya kaburi. Hebu tuone:-
I. USHUHUDA MWEMA (V.5)
“Akajitia nia amtafute Bwana Mungu katika siku za Zekaria, aliyekuwa na ufahamu katika maono ya Mungu, na muda alipomtafuta Bwana, Mungu alimfanikisha” V.5
II. HAKIKISHO YA UFANISI WA MFALME UZIA (V.15)
III. KUELEWA NA MAONO YA MUNGU (26:5)
IV. HAINA MBILI ZA MAONO
V. HATUA TATU ZA KUELEWA MAFUNUO;
VI. UKWELI WA MAFUNUO NA NDOTO
VII. MFALME UZIA ALIANGUKA (V. 16)
Uzia alianguka kwa nini?
MWISHO
MFULULIZO: MAISHA BILA VIZUIZI. SOMO: ZABURI 46:1. Biblia inatuakikishia kwamba Mungu wetu ni “Msaada…
SERIES: THE GOD WHO NEVER FAILS. TEXT: PROVERBS 3:5-6. Every destiny is a divine…
SERIES: THROUGH THE BOOK OF COLOSSIANS. TEXT: Colossians 3:5-10 We have put off the…
SERIES: THE GOD WE SERVE TEXT: 2nd SAMUEL 5:17-20 Breakthroughs are divine interventions that…
SERIES: DRAWING NEAR TO GOD TEXT: LAMENTATIONS 3:37 It reminds believers that God's word alone…
MFULULIZO: MAISHA BILA VIZUIZI. SOMO: 1 YOHANA 5:4. Wakristo wengi wanaishi maisha ya kushindwa…