MALAKI 3:6-12
Mpango wa Mungu juu ya mali na fedha zako ni tofauti sana na mpango wa dunia. Watu wanasema kusanya mali na fedha na usitoe. Mungu anapendezwa tunapotoa (Mithali 28:27) watu wanao toa na kuwapa wengine wanakuwa watu wa furaha, amani na salama (Mithali 19:17, 22:9) .Yesu kristo alitufundisha kanuni ya kutoa na kupokea (Luka 6:38)
Tunahitaji kujiona kama watoaji wala si wapokeaji tu. (dead sea and sea of Galilee) channels and not reservoirs. Watu wa Israeli wakati wa Malaki walikuwa na shida ya kumwacha Mungu.
Hebu tuone:-
II. JITOE KUTOKA KWA LAANA YA UMASIKINI (MALAKI 3:9)
III. LETENI ZAKA KAMILI GHALANI (MALAKI 3:10)
MWISHO
TEXT: LUKE 2:1-14. The birth of Jesus Christ shattered spiritual, social and eternal barriers,…
TEXT: JOHN 3:16-17. Christmas unveils the divine mission behind the birth of Jesus Christ;…
MFULULIZO: KRISMASI NI KUFUNULIWA KWA YESU KRISTO. SOMO: LUKA 2:8-14. Krismasi inafunua jibu la…
SERIES: CHRISTMAS IS CHRIST. TEXT: JOHN 1:1-14. Christmas is the divine moment when God…
TEXT: ISAIAH 53:1-12. The son of man came to seek and save that which…
SERIES: CHRISTMAS IS JESUS CHRIST. TEXT: MATTHEW 1:21 Jesus Christ is the savior of…