MALAKI 3:6-12
Mpango wa Mungu juu ya mali na fedha zako ni tofauti sana na mpango wa dunia. Watu wanasema kusanya mali na fedha na usitoe. Mungu anapendezwa tunapotoa (Mithali 28:27) watu wanao toa na kuwapa wengine wanakuwa watu wa furaha, amani na salama (Mithali 19:17, 22:9) .Yesu kristo alitufundisha kanuni ya kutoa na kupokea (Luka 6:38)
Tunahitaji kujiona kama watoaji wala si wapokeaji tu. (dead sea and sea of Galilee) channels and not reservoirs. Watu wa Israeli wakati wa Malaki walikuwa na shida ya kumwacha Mungu.
Hebu tuone:-
II. JITOE KUTOKA KWA LAANA YA UMASIKINI (MALAKI 3:9)
III. LETENI ZAKA KAMILI GHALANI (MALAKI 3:10)
MWISHO
MFULULIZO: AGANO LA UTAKASO. SOMO: KUTOKA 12:12-13. Damu ya Yesu Kristo ndiyo mhuri wa…
SERIES: SUPERNATURAL ADVANCEMENT. TEXT: HABAKKUK 3:19. The journey of fulfilling your destiny does not…
SERIES: THROUGH THE BOOK OF COLOSSIANS. TEXT: COLOSSIANS 3:15 Thankfulness is a great attitude…
SERIES: THE ANOINTING. TEXT: EZEKIEL 47:1-5 There are levels of the anointing and each…
MFULULIZO: AGANO LA UTAKASO. SOMO: ESTA 2:15-18. Kibali cha Mungu ndicho kinacho watenga watoto…
SERIES: THE GOD WHO NEVER FAILS. TEXT: HAGGAI 2:6-9. God has the power to…