MFULULIZO: DANIELI-MUNGU NDIYE HAKIMU.
SOMO: DANIELI 11:1-45 (30-35), 32.
Danieli 11 ni sura ya ajabu katika kitabu cha Danieli. Vifungu 1-35 vilikuwa wakati ujao kwa Danieli, lakini ni historia kwetu leo. Vifungu vya 36-45 vilikuwa wakati ujao kwa Danieli na pia kwetu leo. Leo tunataka kutizama Maanake vifungu hivi 30-45 na kuelewa hasa maana yake kwetu na jinsi ya kutekeleza juu ya maisha yetu leo.
Mungu ametuita kila mmoja wetu kuwa shujaa hodari. Ametuita tuwe watu wamjuao Mungu wao, watu hodari, watu wafanyao mambo makuu. Mashujaa hodari wanafanyika Tunapofanya uamuzi. Je, wewe umeamua kuwa hodari na shujaa, anayemjua Mungu wake, hodari na anayefanya mambo makuu?
Watu wa Mungu ni hodari na wanafanya mambo makuu-Vs. 22. Katika kifungu hiki tunasoma mambo matatu-
Wakati ndio huu; katika historia Mungu anawatafuta watu watakao tekeleza mpango wake.
KUMJUA MUNGU.
KUWA HODARI.
WATAFANYA MAMBO MAKUU.
MWISHO
MFULULIZO: MAISHA BILA VIZUIZI. SOMO: ZABURI 46:1. Biblia inatuakikishia kwamba Mungu wetu ni “Msaada…
SERIES: THE GOD WHO NEVER FAILS. TEXT: PROVERBS 3:5-6. Every destiny is a divine…
SERIES: THROUGH THE BOOK OF COLOSSIANS. TEXT: Colossians 3:5-10 We have put off the…
SERIES: THE GOD WE SERVE TEXT: 2nd SAMUEL 5:17-20 Breakthroughs are divine interventions that…
SERIES: DRAWING NEAR TO GOD TEXT: LAMENTATIONS 3:37 It reminds believers that God's word alone…
MFULULIZO: MAISHA BILA VIZUIZI. SOMO: 1 YOHANA 5:4. Wakristo wengi wanaishi maisha ya kushindwa…