LUKA 1:5-22
UTANGULIZI
Tumefika Krisimas tena. Katika ibada hii tuta tazama sana watu waliochangia pakubwa katika kuzaliwa, kwa Mwokozi wetu Yesu Kristo. Nyuso za Krismasi ni nyuso za wale walikuwa karibu zaidi. Zakaria na mke wake Elisabeti walikuwa wazazi wa Yohana mbatizaji .Wote wawili walimpenda Mungu sana, wote wawili walimtumkia Mungu kwa moyo safi na utakatifu. Walikuwa wa kwanza kupokea habari za kuzaliwa Mwokozi wa ulimwengu. Kwa miaka 400, neno kutoka mbinguni halikusikika. Zakaria akawa wa kwanza kusikia toka mbinguni.
Hebu tuone:-
I. WAZAZI WA YOHANA BATIZAJI (V.5)
II. WAZAZI WA YOHANA BATIZAJI WALIKUWA WENYE HAKI (V.6)
III. WAZAZI WA YOHANA BATIZAJI WALIKUWA NA SHIDA ZA WANADAMU (V.7)
IV. WAZAZI WA YOHANA BATIZAJI WALIKUWA WATU WA IBADA (V.8-9)
V. WAZAZI WA YOHANA BATIZAJI WALIKUWA WATU WA MAOMBI (V.10) (Zaburi 91:15, I Mambo ya Nyakati 16:11)
VI. WAZAZI WA YOHANA BATIZAJI WALIKUWA NA KIBALI CHA MUNGU (V.11-17)
VII. WAZAZI WA YOHANA BATIZAJI WALIKOSA KUMWAMINI MUNGU (V.18-19)
VIII. KUKOBA IMANI KUNAFUNGA ULIMI WA USHUHUDA (V.20)
MWISHO
TEXT: LUKE 2:1-14. The birth of Jesus Christ shattered spiritual, social and eternal barriers,…
TEXT: JOHN 3:16-17. Christmas unveils the divine mission behind the birth of Jesus Christ;…
MFULULIZO: KRISMASI NI KUFUNULIWA KWA YESU KRISTO. SOMO: LUKA 2:8-14. Krismasi inafunua jibu la…
SERIES: CHRISTMAS IS CHRIST. TEXT: JOHN 1:1-14. Christmas is the divine moment when God…
TEXT: ISAIAH 53:1-12. The son of man came to seek and save that which…
SERIES: CHRISTMAS IS JESUS CHRIST. TEXT: MATTHEW 1:21 Jesus Christ is the savior of…