ISAYA 51:11
KUTOKA 15:1-19
UTANGULIZI
“Nao waliokombolewa na Bwana watarejea, watafika Sayuni, wakiimba; Furaha ya milele itakuwa juu ya vichwa vyao, watapata shangwe na furaha, Huzuni na kuugua zitakimbia.”
Hapa Biblia inaongea juu ya wimbo wa Musa na wimbo wa Mwana Kondoo. Hebu tuone wimbo wa Musa unaimbwa na nani, ni nani anastahili kuimba wimbo huu?. Soma tena Kutoka 15:1-19, Wimbo wa Musa unasema Yakobo alienda Misri kutoka Kanaani kwa sababu ya njaa, wana wa Israeli walikuwa Misri miaka 430 katika hali ya utumwa. Kwa nini Mungu aliwaweka Misri miaka mingi hivyo ?
Tazama (Mwanzo 46:5-7) na (Mwanzo 15:12-15), maelezo ya safari na utumwa Misri.
Hebu Tuone:-
I. SHULE ZA MUNGU
Yesu Kristo kama Mwana wa Mungu alipitia katika shule za Baba ajifunze utii.
II. NYIMBO NI MBILI.
III. WIMBO WA MWANA KONDOO (Ufunuo 15:3-4)
MWISHO
Omba:
AMEN
TEXT: LUKE 2:1-14. The birth of Jesus Christ shattered spiritual, social and eternal barriers,…
TEXT: JOHN 3:16-17. Christmas unveils the divine mission behind the birth of Jesus Christ;…
MFULULIZO: KRISMASI NI KUFUNULIWA KWA YESU KRISTO. SOMO: LUKA 2:8-14. Krismasi inafunua jibu la…
SERIES: CHRISTMAS IS CHRIST. TEXT: JOHN 1:1-14. Christmas is the divine moment when God…
TEXT: ISAIAH 53:1-12. The son of man came to seek and save that which…
SERIES: CHRISTMAS IS JESUS CHRIST. TEXT: MATTHEW 1:21 Jesus Christ is the savior of…