ISAYA 51:11
KUTOKA 15:1-19
UTANGULIZI
“Nao waliokombolewa na Bwana watarejea, watafika Sayuni, wakiimba; Furaha ya milele itakuwa juu ya vichwa vyao, watapata shangwe na furaha, Huzuni na kuugua zitakimbia.”
Hapa Biblia inaongea juu ya wimbo wa Musa na wimbo wa Mwana Kondoo. Hebu tuone wimbo wa Musa unaimbwa na nani, ni nani anastahili kuimba wimbo huu?. Soma tena Kutoka 15:1-19, Wimbo wa Musa unasema Yakobo alienda Misri kutoka Kanaani kwa sababu ya njaa, wana wa Israeli walikuwa Misri miaka 430 katika hali ya utumwa. Kwa nini Mungu aliwaweka Misri miaka mingi hivyo ?
Tazama (Mwanzo 46:5-7) na (Mwanzo 15:12-15), maelezo ya safari na utumwa Misri.
Hebu Tuone:-
I. SHULE ZA MUNGU
Yesu Kristo kama Mwana wa Mungu alipitia katika shule za Baba ajifunze utii.
II. NYIMBO NI MBILI.
III. WIMBO WA MWANA KONDOO (Ufunuo 15:3-4)
MWISHO
Omba:
AMEN
MFULULIZO: MAISHA BILA VIZUIZI. SOMO: ZABURI 46:1. Biblia inatuakikishia kwamba Mungu wetu ni “Msaada…
SERIES: THE GOD WHO NEVER FAILS. TEXT: PROVERBS 3:5-6. Every destiny is a divine…
SERIES: THROUGH THE BOOK OF COLOSSIANS. TEXT: Colossians 3:5-10 We have put off the…
SERIES: THE GOD WE SERVE TEXT: 2nd SAMUEL 5:17-20 Breakthroughs are divine interventions that…
SERIES: DRAWING NEAR TO GOD TEXT: LAMENTATIONS 3:37 It reminds believers that God's word alone…
MFULULIZO: MAISHA BILA VIZUIZI. SOMO: 1 YOHANA 5:4. Wakristo wengi wanaishi maisha ya kushindwa…