SOMO: I WAFALME 1:1-53
UTANGULIZI
Je, wewe ni mtumwa wa yaliyopita? Ujumbe wetu leo ni kisa jinsi ya kuinuka juu ya yaliyopita pamoja na maovu uliyotendewa na watu.
Mfalme Daudi alipokuwa mzee na mkongwe, Sulemani kitinda mimba wake aliingia mahali pake. Ndugu yake Adonia alikuwa amejipandisha kuwa mfalme akawaalika wote kwa karamu ya kujiapisha lakini hakumwalika Sulemani. Babake Sulemani alikuwa mfalme Daudi, mfalme wa heshima sana. Lakini Daudi alianguka waajibu wake kama baba na mume. Pamoja na mke wake wa kwanza, yaani Mikali. Mfalme Daudi alikuwa na wake saba (2 Sam.15:16, I Nyakati 3:1-5) na mazuna kumi (10) wake sita aliowapata wakati wa uamisho (Exile) Hebroni na Beth-sheba alimnyanganya Uria mhiti huko Yerusalemu. Alikuwa na wana 10 kutoka kwa wake saba, wana wengine 9 na binti wengi sana.
Je, Sulemani aliwezaje kupambana na yaliyopita na kutazama yajayo?
Hebu tuone:-
I. JIWEKE HURU NA MAISHA YA KALE (I Wafalme 1:16-21)
II. JIWEKE HURU KUTOKANA NA JAMA ZA LEO (I Wafalme 38-40)
III. JIWEKE HURU KUTOKANA NA KUHUKUMU WATU (I Wafalme 1:49-53)
MWISHO
TEXT: LUKE 2:1-14. The birth of Jesus Christ shattered spiritual, social and eternal barriers,…
TEXT: JOHN 3:16-17. Christmas unveils the divine mission behind the birth of Jesus Christ;…
MFULULIZO: KRISMASI NI KUFUNULIWA KWA YESU KRISTO. SOMO: LUKA 2:8-14. Krismasi inafunua jibu la…
SERIES: CHRISTMAS IS CHRIST. TEXT: JOHN 1:1-14. Christmas is the divine moment when God…
TEXT: ISAIAH 53:1-12. The son of man came to seek and save that which…
SERIES: CHRISTMAS IS JESUS CHRIST. TEXT: MATTHEW 1:21 Jesus Christ is the savior of…