2 MAMBO YA NYAKATI 21:1-20
UTANGULIZI
Tunapotembea katika barabara ya maisha, tunaendelea kuandika historia ya jinsi tutakumbukwa mara tutakapo fariki dunia. Tabia zetu ndizo watu watakumbuka. Mfalme Yehoramu mwana wa mfalme Yehoshafati alifariki bila kutamaniwa na kuliliwa na mtu yeyote. Kama Yesu Kristo atakawia zaidi kurundi kwake duniani, Kila mmoja wetu katika chumba hiki lazima kukutana na mauti. Tangu kuzaliwa tunaanza kutembea kuelekea siku ya kufa
Kila mtu anapenda kukumbukwa na kuliliwa na watu wake. Hebu tuone kifo cha mfalme Yehoramu aliyefariki bila yeyote kumtamani:-
I. ALIFARIKI BILA KUTAMANIWA
II. YEHORAMU ALIISHI VIBAYA
III. BASI SISI NASI TUISHI AJE?
I Yohana 1:9, Wagalaha 2:20, Warumi 14:7-8, wafilipi 1:20
MWISHO
MFULULIZO: MAISHA BILA VIZUIZI. SOMO: ZABURI 46:1. Biblia inatuakikishia kwamba Mungu wetu ni “Msaada…
SERIES: THE GOD WHO NEVER FAILS. TEXT: PROVERBS 3:5-6. Every destiny is a divine…
SERIES: THROUGH THE BOOK OF COLOSSIANS. TEXT: Colossians 3:5-10 We have put off the…
SERIES: THE GOD WE SERVE TEXT: 2nd SAMUEL 5:17-20 Breakthroughs are divine interventions that…
SERIES: DRAWING NEAR TO GOD TEXT: LAMENTATIONS 3:37 It reminds believers that God's word alone…
MFULULIZO: MAISHA BILA VIZUIZI. SOMO: 1 YOHANA 5:4. Wakristo wengi wanaishi maisha ya kushindwa…