2 MAMBO YA NYAKATI 21:1-20
UTANGULIZI
Tunapotembea katika barabara ya maisha, tunaendelea kuandika historia ya jinsi tutakumbukwa mara tutakapo fariki dunia. Tabia zetu ndizo watu watakumbuka. Mfalme Yehoramu mwana wa mfalme Yehoshafati alifariki bila kutamaniwa na kuliliwa na mtu yeyote. Kama Yesu Kristo atakawia zaidi kurundi kwake duniani, Kila mmoja wetu katika chumba hiki lazima kukutana na mauti. Tangu kuzaliwa tunaanza kutembea kuelekea siku ya kufa
Kila mtu anapenda kukumbukwa na kuliliwa na watu wake. Hebu tuone kifo cha mfalme Yehoramu aliyefariki bila yeyote kumtamani:-
I. ALIFARIKI BILA KUTAMANIWA
II. YEHORAMU ALIISHI VIBAYA
III. BASI SISI NASI TUISHI AJE?
I Yohana 1:9, Wagalaha 2:20, Warumi 14:7-8, wafilipi 1:20
MWISHO
TEXT: LUKE 2:1-14. The birth of Jesus Christ shattered spiritual, social and eternal barriers,…
TEXT: JOHN 3:16-17. Christmas unveils the divine mission behind the birth of Jesus Christ;…
MFULULIZO: KRISMASI NI KUFUNULIWA KWA YESU KRISTO. SOMO: LUKA 2:8-14. Krismasi inafunua jibu la…
SERIES: CHRISTMAS IS CHRIST. TEXT: JOHN 1:1-14. Christmas is the divine moment when God…
TEXT: ISAIAH 53:1-12. The son of man came to seek and save that which…
SERIES: CHRISTMAS IS JESUS CHRIST. TEXT: MATTHEW 1:21 Jesus Christ is the savior of…