2 MAMBO YA NYAKATI 19-20
UTANGULIZI
Hata ingawa mfalme Yehoshafati alijifunga kongwa moja na wasio amini, na akapona mauti katika vita, tunaona kwamba Yehoshafati alimrudia Mungu wake. Yehoshafati alirudi Yerusalemu kwa aibu nyingi. Mara tu alipoingia nyumbani kwake Yerusalemu, Yehu mwana wa Hanani, Mwonaji alikwenda kumlaki akamwambia “Je! Imekupasa kuwasaidia waovu na kuwapenda wamchukiao Bwana ?”. (19:2). Lakini jambo moja lilikuwa nzuri kwa moyo wake mfalme Yehoshafati “Moyo wako umeukaza kumtafuta Mungu” (19:3). Tumeona njia yake kuteremkia dhambi na aibu. Dhambi huleta Aibu. Leo tunaona njia ya kumrudia Mungu na kutubu:-
I. YEHOSHAFATI ALIWARUDISHA WATU KWA BWANA (19:4)
II. YEHOSHAFATI ALIWAFUNDISHA NJIA ZA MUNGU (19:7)
III. YEHOSHAFATI ALIWAONYA JUU YA DHAMBI YA KURUDI NYUMA (19:10)
IV. YEHOSHAFATI ALITAFUTA MSAADA WA MUNGU SIKU YA TAABU (20:1-12)
V. YEHOSHAFATI ALIJIBIWA MAOMBI YAKE (20:14-17)
VI. USHUHUDA WA YEHOSHAFATI (20:18-20)
VII. SIFA NA IBADA (20:21-30)
MWISHO
TEXT: LUKE 2:1-14. The birth of Jesus Christ shattered spiritual, social and eternal barriers,…
TEXT: JOHN 3:16-17. Christmas unveils the divine mission behind the birth of Jesus Christ;…
MFULULIZO: KRISMASI NI KUFUNULIWA KWA YESU KRISTO. SOMO: LUKA 2:8-14. Krismasi inafunua jibu la…
SERIES: CHRISTMAS IS CHRIST. TEXT: JOHN 1:1-14. Christmas is the divine moment when God…
TEXT: ISAIAH 53:1-12. The son of man came to seek and save that which…
SERIES: CHRISTMAS IS JESUS CHRIST. TEXT: MATTHEW 1:21 Jesus Christ is the savior of…