2 MAMBO YA NYAKATI 19-20
UTANGULIZI
Hata ingawa mfalme Yehoshafati alijifunga kongwa moja na wasio amini, na akapona mauti katika vita, tunaona kwamba Yehoshafati alimrudia Mungu wake. Yehoshafati alirudi Yerusalemu kwa aibu nyingi. Mara tu alipoingia nyumbani kwake Yerusalemu, Yehu mwana wa Hanani, Mwonaji alikwenda kumlaki akamwambia “Je! Imekupasa kuwasaidia waovu na kuwapenda wamchukiao Bwana ?”. (19:2). Lakini jambo moja lilikuwa nzuri kwa moyo wake mfalme Yehoshafati “Moyo wako umeukaza kumtafuta Mungu” (19:3). Tumeona njia yake kuteremkia dhambi na aibu. Dhambi huleta Aibu. Leo tunaona njia ya kumrudia Mungu na kutubu:-
I. YEHOSHAFATI ALIWARUDISHA WATU KWA BWANA (19:4)
II. YEHOSHAFATI ALIWAFUNDISHA NJIA ZA MUNGU (19:7)
III. YEHOSHAFATI ALIWAONYA JUU YA DHAMBI YA KURUDI NYUMA (19:10)
IV. YEHOSHAFATI ALITAFUTA MSAADA WA MUNGU SIKU YA TAABU (20:1-12)
V. YEHOSHAFATI ALIJIBIWA MAOMBI YAKE (20:14-17)
VI. USHUHUDA WA YEHOSHAFATI (20:18-20)
VII. SIFA NA IBADA (20:21-30)
MWISHO
MFULULIZO: MAISHA BILA VIZUIZI. SOMO: ZABURI 46:1. Biblia inatuakikishia kwamba Mungu wetu ni “Msaada…
SERIES: THE GOD WHO NEVER FAILS. TEXT: PROVERBS 3:5-6. Every destiny is a divine…
SERIES: THROUGH THE BOOK OF COLOSSIANS. TEXT: Colossians 3:5-10 We have put off the…
SERIES: THE GOD WE SERVE TEXT: 2nd SAMUEL 5:17-20 Breakthroughs are divine interventions that…
SERIES: DRAWING NEAR TO GOD TEXT: LAMENTATIONS 3:37 It reminds believers that God's word alone…
MFULULIZO: MAISHA BILA VIZUIZI. SOMO: 1 YOHANA 5:4. Wakristo wengi wanaishi maisha ya kushindwa…