2 MAMBO YA NYAKATI 17-18
UTANGULIZI
Kubeba msalaba wote ni rahisi kuliko kubeba msalaba nusu. Mtu anayejaribu kuishi katika dunia mbili hupoteza zote mbili. Kwa wengi wetu, kama watu wa Mungu, ingesemekana kama jinsi watu wa Galatia “mlikuwa mkipiga mbio vizuri, ni nani aliyewazuia msitii kweli?” (Wagalatia 5:7) “Enyi wagalatia msio na akili, ni nani aliyewaroga, nyini ambao Yesu Kristo aliwekwa wazi mbele ya Macho yenu yakuwa amesulubiwa?” Hata ingawa vizuizi ni vingi hakuna sababu wale wamepewa mambawa ya Imani waweze kuzuiwa katika maisha yao ya kiroho. Yehoshafati kama Asa baba yake alianza vizuri– lakini. Asubuhi ya maisha yake ilipata mawingu na mawimbi mengi hivyo Yehoshafati akaingia katika shida na kurudi nyuma. Maisha ya mfalme Yehoshafati ni funzo na onyo kwetu. Hebu tuone:-
I. YEHOSHAFATI ALIHESHIMIKA SANA (17:3)
II. YEHOSHAFATI ALITIWA MOYO SANA KATIKA NJIA ZA BWANA (17:6)
III.YEHOSHAFATI ALIFUNGWA NIRA MOJA NA WASIO AMINI. (18:1)
IV. YEHOSHAFATI ALIJISALIMISHA KABISA KWA ADUI (18:3)
V. YEHOSHAFATI KWA SIRI YA MOYO HAKUTOSHEKA (18:4-5)
VI. YEHOSHAFATI KWA AIBU NYINGI ALIPATIKANA (18:30-31)
MWISHO
MFULULIZO: MAISHA BILA VIZUIZI. SOMO: ZABURI 46:1. Biblia inatuakikishia kwamba Mungu wetu ni “Msaada…
SERIES: THE GOD WHO NEVER FAILS. TEXT: PROVERBS 3:5-6. Every destiny is a divine…
SERIES: THROUGH THE BOOK OF COLOSSIANS. TEXT: Colossians 3:5-10 We have put off the…
SERIES: THE GOD WE SERVE TEXT: 2nd SAMUEL 5:17-20 Breakthroughs are divine interventions that…
SERIES: DRAWING NEAR TO GOD TEXT: LAMENTATIONS 3:37 It reminds believers that God's word alone…
MFULULIZO: MAISHA BILA VIZUIZI. SOMO: 1 YOHANA 5:4. Wakristo wengi wanaishi maisha ya kushindwa…