DANIELI 2:31-45
UTANGULIZI
Daniel- (Mungu ni hakimu wangu) Hananniah (Mungu ni mwenye neema) Mishaeli (Mungu halinganishwi) Azariah (Mungu ndiye anisaidiaye).
Danieli akawa mtu wa maono, ndoto, unabii na mtafsiri wa akili na mausia ya Mungu. Maono ya mfalme Nebukadreza yalitisha sana. Furaha ya wasio na Mungu inharibika haraka, kwa ndoto yake mfalme alifadhaika sana. Ndoto yake ilitoweka kutoka kwa akili zake, hivyo akataka kufahamishwa na mwenye hekima (v.5). Jambo hili lilikuwa ngumu Zaidi lakini, lisilo wezekana kwa mwanadamu, linawezekana kwa Mungu (v.10). Mungu wa Danieli anayafahamu yote na uwezo wake hauna kifani.
Nebukadreza aliona na tazama sanamu kubwa sana, sanamu hii pia ilikuwa na mwangaza mwingi sana, sanamu hii pia ilitisha sana. Mungu alionyesha Enzi za utawala wa mwanadamu (gentile rule)
I. KAMA JIWE ISRAELI WANAKWAZIKA JUU YA KRISTO (Mathayo 21:42-44)
II. KAMA JIWE KANISA LIMEJENGWA JUU YA KRISTO (Mathayo 16:16-18)
III. KAMA JIWE NGUVU ZA MATAIFA ZITAVUNJWA NA KRISTO (V.34)
IV. KAMA JIWE ULIMWENGU UTAJAA UTUKUFU WA KRISTO.
MWISHO
MFULULIZO: AGANO LA UTAKASO. SOMO: KUTOKA 12:12-13. Damu ya Yesu Kristo ndiyo mhuri wa…
SERIES: SUPERNATURAL ADVANCEMENT. TEXT: HABAKKUK 3:19. The journey of fulfilling your destiny does not…
SERIES: THROUGH THE BOOK OF COLOSSIANS. TEXT: COLOSSIANS 3:15 Thankfulness is a great attitude…
SERIES: THE ANOINTING. TEXT: EZEKIEL 47:1-5 There are levels of the anointing and each…
MFULULIZO: AGANO LA UTAKASO. SOMO: ESTA 2:15-18. Kibali cha Mungu ndicho kinacho watenga watoto…
SERIES: THE GOD WHO NEVER FAILS. TEXT: HAGGAI 2:6-9. God has the power to…