I WAFALME 2:28-34
UTANGULIZI
Kuna toba inayochelewa. Mtu huyu alikuja kwa madhabahu ya Bwana lakini alikuwa amechelewa hivyo akafa. Hili ni jambo la huzuni nyingi sana, Yohabu alilala hapo madhabauni mfu. Damu yake ililowa madhabahu lakini alikuja amechelewa. Kushika pembe za hekalu haitoshi kwa kuokoka. Yoabu hakuwa mtu wa ibada na kanisa, alikuwa mtu wa vita, jemedari. Yoabu hakuwa na Imani timilifu hivyo hakumpa Mungu heshima alipokuwa hai, hakuwa na uhusiano na nyumba ya Mungu na kuhani katika maisha yake. Lakini alipokuwa katika hatari alikimbilia nyumba na watu wa Mungu. Yoabu alifika, lakini amechelewa. Neema ya Mungu haipatikani wakati wowote.
Hebu tuone:-
I. KUNA TOBA ISIYO YA KWELI.
II. KUNA TOBA YA KWELI.
III. KUNA TOBA INAYOKUJA IMECHELEWA.
MWISHO
MFULULIZO: MAISHA BILA VIZUIZI. SOMO: ZABURI 46:1. Biblia inatuakikishia kwamba Mungu wetu ni “Msaada…
SERIES: THE GOD WHO NEVER FAILS. TEXT: PROVERBS 3:5-6. Every destiny is a divine…
SERIES: THROUGH THE BOOK OF COLOSSIANS. TEXT: Colossians 3:5-10 We have put off the…
SERIES: THE GOD WE SERVE TEXT: 2nd SAMUEL 5:17-20 Breakthroughs are divine interventions that…
SERIES: DRAWING NEAR TO GOD TEXT: LAMENTATIONS 3:37 It reminds believers that God's word alone…
MFULULIZO: MAISHA BILA VIZUIZI. SOMO: 1 YOHANA 5:4. Wakristo wengi wanaishi maisha ya kushindwa…