MFULULIZO: YUSUFU
SOMO: MWANZO 38:1-30.
Ikiwa unapenda kuwa kiongozi wa watu na kuwa na usemi juu ya watu, basi kuwa mtu wa msimamo, usiwe kama dunia. Chukua jukumu juu ya jamii yako, anagalia sana maisha na tabia yako na zaidi ya yote tazamia neema ya Mungu.
Katika Mwanzo 38, tunaona ni kwa nini Mungu hakumchagua Yuda na Reuben kuwa kiongozi juu ya nyumba ya Israeli. Yuda alikosa nguvu za kuongoza. Katika sura hii ya 38 tunaona kwa nini Mungu alimchagua Yusufu kuongoza Israeli, hata ingawa Yusufu alikuwa mzaliwa wa mwisho katika Mwanzo 38:1.
USIFUATE ANASA ZA DUNIA HUU.
JALI SANA MAMBO YA JAMII YAKO.
UWE KIELELEZO CHEMA KWA JINSI UNAVYOISHI MAISHA YAKO.
MWISHO
MFULULIZO: MAISHA BILA VIZUIZI. SOMO: ZABURI 46:1. Biblia inatuakikishia kwamba Mungu wetu ni “Msaada…
SERIES: THE GOD WHO NEVER FAILS. TEXT: PROVERBS 3:5-6. Every destiny is a divine…
SERIES: THROUGH THE BOOK OF COLOSSIANS. TEXT: Colossians 3:5-10 We have put off the…
SERIES: THE GOD WE SERVE TEXT: 2nd SAMUEL 5:17-20 Breakthroughs are divine interventions that…
SERIES: DRAWING NEAR TO GOD TEXT: LAMENTATIONS 3:37 It reminds believers that God's word alone…
MFULULIZO: MAISHA BILA VIZUIZI. SOMO: 1 YOHANA 5:4. Wakristo wengi wanaishi maisha ya kushindwa…