MFULULIZO: DANIELI-MUNGU NDIYE HAKIMU.
SOMO: DANIELI 6:1-28
Danieli anatupatia mfano mwema wa jinsi ya kuishi maisha. Danieli alikuwa mtu wa Mungu katika nchi ya kigeni, tamaduni za mwanadamu bila Mungu. Sisi nasi tunaishi katika nchi ambayo Yesu Kristo na Ukristo zinapingwa sana kila kuchao.
Katika mlango wa kwanza, Danieli alikataa kula chakula cha mfalme na ile divai yake. Danieli alichagua kula mtama na maji pekee. Mlango wa pili mfalme Nebukadreza aliona ndoto ya yule sanamu mkuu katika uwanda ule wa ndura, Maanake ni falme zote za Wayunani. Katika huu mlango wa sita tutaona ufalme wa pili katika ile sanamu ambao ni ufalme wa Wamede na Uajeni (Medes + Persians). Katika mlango wa tatu wale vijana Waebrania walikataa kuabudu ile sanamu ya mfalme Nebukadreza hivyo wakatupwa katika tanuri ya moto. Hawa vijana watatu waligundua moto si moto panapo Yesu Kristo. Mlango wa nne tuliona ushuhuda wa mfalme Nebukadreza baada ya kufanyika ng’ombe kwa miaka saba na jinsi mfalme Nebukadreza alivyookoka, jinsi mfalme Belshazzar aliona maandishi juu ya ukuta wa nyumba ya enzi yake yaani “Mene mene Tekeli Persi.” Leo hii na tutazame “Simba katika tundu la Danieli.”
ADHARANI: ISHI MAISHA SAFI NA TAKATIFU.
KATIKA MAISHA YA SIRI: MAOMBI IWE TABIA YAKO.
KATIKA PRESSURE: AMANI ITAKUWA DHAWABU YAKO.
MWISHO
SERIES: THE ANOINTING. TEXT: EZEKIEL 47:1-5 There are levels of the anointing and each…
MFULULIZO: AGANO LA UTAKASO. SOMO: ESTA 2:15-18. Kibali cha Mungu ndicho kinacho watenga watoto…
SERIES: THE GOD WHO NEVER FAILS. TEXT: HAGGAI 2:6-9. God has the power to…
SERIES: THROUGH THE BOOK OF COLOSSIANS. TEXT: COLOSSIANS 3:16 Christianity is a singing religion.…
SERIES: THE GOD WHO NEVER FAILS. TEXT: ISAIAH 54:17 JEHOVAH God does not abandon…
SERIES: THEY THAT WAIT HAVE EAGLE'S ANOINTING TEXT: ISAIAH 40:31 The eagle symbolizes the…