CHRIST CENTRED CHURCH
Skip to content
  • Home
  • About Us
  • Services
    • Youth
    • English
    • Swahili
  • Main Website

Category: Swahili Service

Swahili Service October 26, 2025October 26, 2025 by Rev, DR. Willy Mutiso

DAMU YA UTAKASO.

MFULULIZO: AGANO LA UTAKASO. SOMO: KUTOKA 12:12-13.   Damu ya Yesu Kristo ndiyo mhuri wa utakaso. Utakaso kwa damu ya YESU KRISTO unakulinda, kukuifadhi na kukudumisha kama mwana na mtoto wake Mungu, unatakaswa kutoka mauti, uaribifu, hukumu na hatari na janga zote. “Na ile damu itakuwa ishara kwenu katika zile nyumba mtakazokuwamo; nami nitakapoiona ile …

Continue Reading
Swahili Service October 19, 2025October 19, 2025 by Rev, DR. Willy Mutiso

UMETAKASWA KUPOKEA KIBALI.

MFULULIZO: AGANO LA UTAKASO. SOMO: ESTA 2:15-18.   Kibali cha Mungu ndicho kinacho watenga watoto wake kupokea baraka, kupenya na heshima. Zaburi 5:12, “Kwa maana wewe utam’bariki mwenye haki; Bwana utamzungushia radhi kama ngao.” Radhi ni kibali, hivyo kibali ni baraka za Mungu kwa watoto wake kila siku. Kibali ndio mali na urithi ulio mkuu …

Continue Reading
Swahili Service September 21, 2025September 21, 2025 by Rev, DR. Willy Mutiso

MSAADA WA MUNGU WAKATI WA MATESO.

MFULULIZO: MAISHA BILA VIZUIZI. SOMO: ZABURI 46:1.   Biblia inatuakikishia kwamba Mungu wetu ni “Msaada wa karibu.” Maanake ni kwamba Mungu wetu yu karibu nasi. Hivyo, kwa sababu Mungu yu karibu sana yeye yuko tayari kutusaidia kwa nguvu zake na neema yake. Maisha yamejaa nyakati za majaribu, kukosa hakika na dhaoruba za kila haina. Hakuna …

Continue Reading
Swahili Service August 31, 2025September 7, 2025 by Rev, DR. Willy Mutiso

CHECHEA MSHINDI ALIYE NDANI YAKO.

MFULULIZO: MAISHA BILA VIZUIZI. SOMO: 1 YOHANA 5:4.   Wakristo wengi wanaishi maisha ya kushindwa kwa sababu hawajui jinsi ya kuchochea ule ushindi na ushujaa ulio ndani ya maisha yao. Kila aliyezaliwa na Roho anaye mbegu ya ushindi ndani yake. Ulipookoka mshindi alizaliwa ndani yako, lakini uchochee ule ushindi. Umeumbwa kuwa mshindi na mtawala juu …

Continue Reading
Swahili Service August 17, 2025August 17, 2025 by Rev, DR. Willy Mutiso

JINSI YA KUTAMBUA NA KUVUNJA VIZUIZI VYA BINAFSI.

MFULULIZO: MAISHA BILA VIZUIZI. SOMO: WAAMUZI 6: 11-16   Moja ya vizuizi kubwa zaidi kwa maendeleo ya maisha si upinzani kutoka nje lakini vizuizi vya binafsi. Vizuizi ndani yetu ni pamoja na hofu, kukosa usalama wa Nafsi, kuhukumiwa ndani, hali ya udhaifu wa nafsi, kujionea huruma haya. Yote yanavunja mtu kuliko adui walio nje yako. …

Continue Reading
Swahili Service August 10, 2025August 10, 2025 by Rev, DR. Willy Mutiso

MAJIRA YAKO YATAPAMBAZUKA.

MFULULIZO: MAISHA BILA VIZUIZI SOMO: ISAYA 58:8-9.   Majira kupambazuka ni wakati Mungu anachukua nafasi juu ya vita vyako, wakati Mungu anapata kukuinua na kuonyesha utukufu wake katika maisha yako. Kunafika wakati katika safari ya maisha, wakati Mungu anaviondoa vikwazo na vizuizi njiani mwako. Huu ni wakati Mungu anavunja kila ngome mbele zako hili matokeo …

Continue Reading
Swahili Service July 20, 2025July 20, 2025 by Rev, DR. Willy Mutiso

ALICHO KUTENDEA YESU KRISTO

MFULULIZO: TUMAINI HAI SOMO: 1 PETRO 3:18-22.   Leo tunatazama kifungu kigumu zaidi katika Agano Jipya. Kumbuka Petro akiwaandikia kanisa lilikuwa katika dhiki kuu. Hawa Wakristo walitapakaa mbali wakihofia maisha yao chini ya utawala wa mfalme Nero yaani Kaisari wa Roma. Hawa Wakristo walikuwa wamepoteza yote, nyumba, biashara, jamii na nchi yao. Kweli hawa walikuwa …

Continue Reading
Swahili Service July 13, 2025July 20, 2025 by Geoffrey Munyae

KUNYAKULIWA KWA KANISA

SOMO: MATHAYO 24:1-34   Tangu Adamu na Hawa kuumbwa mpaka leo ni jumla ya miaka 5,786 kulingana na kalenda ya Wayahudi. Kuna wakati Mungu atakamilisha dahari (close of this age). Huu ni wakati ambao dhiki kuu itaisha. Kabla ya dhiki kuu kuanza, kutakuwa na unyakuo (rapture of the church). Bwana alipaa mbinguni kwenda kutuandalia makao-Yohana …

Continue Reading
Swahili Service July 6, 2025July 6, 2025 by Rev, DR. Willy Mutiso

SHUHUDIA KWA KILA MTU TUMAINI LAKO

MFULULIZO: TUMAINI HAI SOMO: 1ST PETRO 3:14-16   Wakristo wa Karne ya kwanza  waliteseka sana kwa ajili ya imani yao ndani ya Yesu Kristo. Pamoja na kuteswa sana hawa Wakristo walikuwa na tumaini kubwa. Petro anawaandikia kwamba wawe na moyo mkuu na kushuhudia tumaini lao kwa kila mtu. Leo tunatazama njia za kushiriki na kuwashuhudia …

Continue Reading
Swahili Service June 29, 2025June 29, 2025 by Rev, DR. Willy Mutiso

PENDA MAISHA

MFULULIZO: TUMAINI HAI. SOMO: 1 PETRO 3:8-12, (10).   Kila mtu anapenda kuishi maisha bora zaidi. Sijakutana na mtu yeyote asiyependa kuishi vyema na bora. Kila mtu anapenda kuwa na furaha, amani, baraka na ufanisi-maisha mema. Lakini shida ni watu katika dunia hii hawajui maisha mazuri na bora na maisha ya namna gani. Wengine maisha …

Continue Reading

Posts navigation

Older posts

Recent Posts

  • DAMU YA UTAKASO.
  • KEY TO DIVINE SPEED.
  • BE YE THANKFUL TO GOD.
  • LEVELS OF THE ANOINTING.
  • UMETAKASWA KUPOKEA KIBALI.

Recent Comments

  • Micchael Paul on RUDI BETHELI.
  • Benjamin Mwaseba on TENGENEZA MADHABAHU YA BWANA
  • Prophet Nicolaas Neniels on DELIVERANCE FROM EVIL ALTARS
  • MICHAEL KILAWA on USHINDI KATIKA VITA VYA MAISHA
  • GABRIEL BORBOR BUNDU-KAINESSIE on THE CRY FOR FRESH OIL

Archives

  • October 2025
  • September 2025
  • August 2025
  • July 2025
  • June 2025
  • May 2025
  • April 2025
  • March 2025
  • February 2025
  • January 2025
  • December 2024
  • November 2024
  • October 2024
  • September 2024
  • August 2024
  • July 2024
  • June 2024
  • May 2024
  • April 2024
  • March 2024
  • February 2024
  • January 2024
  • December 2023
  • November 2023
  • October 2023
  • September 2023
  • August 2023
  • July 2023
  • June 2023
  • May 2023
  • April 2023
  • March 2023
  • February 2023
  • January 2023
  • December 2022
  • November 2022
  • October 2022
  • September 2022
  • August 2020
  • June 2020
  • May 2020
  • April 2020
  • March 2020
  • February 2020
  • January 2020
  • December 2019
  • November 2019
  • October 2019
  • September 2019
  • August 2019
  • July 2019
  • June 2019
  • May 2019
  • April 2019
  • March 2019
  • February 2019
  • January 2019
  • December 2018
  • November 2018
  • October 2018
  • September 2018
  • August 2018
  • July 2018
  • June 2018
  • May 2018
  • April 2018
  • March 2018
  • February 2018
  • October 2017
  • August 2017

Categories

  • A MESSAGE FROM ST. PAUL
  • ABRAHAM
  • AKILI ZA KUJUA NYAKATI ZA MUNGU
  • BACK TO GOD
  • BACK TO HOLINESS
  • BACK TO THE BASICS
  • BACK TO THE BASICS OF CHRISTIANITY
  • BE RENEWED
  • Bible Couples
  • CHRISTMAS
  • CHRISTMAS EVE
  • CHRISTMAS SERVICE
  • CHURCH NOTICES /EVENTS
  • DANIEL
  • DELIVERANCE
  • Deliverance
  • Divine Destiny
  • DIVINE PROTECTION
  • English Service
  • Evening Service
  • FINDING SATISFACTION IN LIFE
  • God Meant It For Good.
  • GOOD FRIDAY
  • Home & Family
  • IBRAHIMU: KUMFUATA BWANA KATIKA IMANI
  • Integrity
  • ISAIAH- RETURN
  • JESUS CHRIST IS BETTER
  • KINGDOM BE-ATTITUDES
  • Kings Of Judah
  • LAMENTATIONS
  • Life In the Spirit
  • Love
  • Mens Ministry
  • MIALIKO MIKUU KATIKA BIBLIA
  • MID-WEEK SERVICE
  • MITUME WA YESU KRISTO
  • Moses
  • MWENYE HAKI ATAISHI KWA IMANI
  • New Year 2019 Eve
  • NEW YEAR SERVICE
  • NEW YEAR'S EVE
  • NOEL
  • Old/ Past Sermons
  • PALM SUNDAY
  • PRAYER CHANGES THINGS
  • REPENT
  • RESURRECTION SUNDAY
  • SAMWELI
  • Series
  • Sermon On The Mount
  • Sermons
  • Successful Life
  • Swahili Service
  • THE END TIMES
  • THE JUST LIVE BY FAITH
  • THE PROOF THAT ONE REALLY LOVES GOD
  • TIMOTHY
  • TRUST GOD NO MATTER WHAT HAPPENS
  • UKOMBOZI
  • Uncategorized
  • USHINDI WA IMANI
  • WALKING IN DOMINION
  • WANAWAKE SABA WENYE IMANI YA BIBLIA
  • Wednesday Sermon
  • WEDNESDAY SERVICE
  • YESU KRISTO YUARUDI TENA
  • Youth Service
© 2025 – Black Theme by ZThemes Studio
error: