MFULULIZO: KRISMASI NI KUFUNULIWA KWA YESU KRISTO. SOMO: LUKA 2:8-14. Krismasi inafunua jibu la Mungu la furaha katika dunia ya dhiki, shida na farakano. “Malaika akawaambia, msiogope; kwa kuwa mimi ninawaletea habari njema ya furaha kuu itakayokuwa kwa watu wote”-Luka 2:10. Dunia hii tunayoishi ni mahali pa dhiki, shida, magumu ya uchumi, magonjwa, hofu …
Category: Swahili Service
KANUNI ZA UFALME WA MUNGU
MFULULIZO: JINSI YA KUISHI KATIKA UFALME WA MUNGU. SOMO: MATHAYO 6:33. Ufalme wa Mungu si tu mahali, lakini ni hali ya kuishi. Katika ufalme wa Mungu tunaishi kulingana na kanuni za mbinguni. Tunapoishi sawa sawa na kanuni za ufalme, hapo ndipo tunaishi katika nguvu, baraka na amani. “Bali utafuteni kwanza ufalme wake na haki …
FURAHA YA WENYEJI WA UFALME WA MUNGU.
MFULULIZO: JINSI YA KUISHI MAISHA YA UFALME WA MUNGU. SOMO: WAFILIPI 3:20-21. Zaidi tunapofahamu utambulisho wetu kama wenyeji wa ufalme wa Mungu, ndiposa tutakapopata ujuzi kamili wa furaha inayoletwa na ufalme wa Mungu. “Kwa maana sisi, wenyeji wetu uko mbinguni, kutoka huko tena tunamtazamia Mwokozi, Bwana Yesu Kristo-Wafilipi 3:20. Wenyeji unakuja pamoja na haki …
AGANO LA UTAWALA NA MAMLAKA
MFULULIZO: AGANO LA UTAKASO. SOMO: MWANZO 1:26-28. Utawala na mamlaka ndiyo Agano la urithi wetu katika Yesu Kristo. Kupitia utakaso tumepewa nguvu na uwezo wa kutawala katika maisha, kutawala juu ya dhambi, utumwa, unyanyaso na nguvu zote za shetani. “Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi na kuitiisha; mkatawale samaki wa baharini na …
DAMU YA UTAKASO.
MFULULIZO: AGANO LA UTAKASO. SOMO: KUTOKA 12:12-13. Damu ya Yesu Kristo ndiyo mhuri wa utakaso. Utakaso kwa damu ya YESU KRISTO unakulinda, kukuifadhi na kukudumisha kama mwana na mtoto wake Mungu, unatakaswa kutoka mauti, uaribifu, hukumu na hatari na janga zote. “Na ile damu itakuwa ishara kwenu katika zile nyumba mtakazokuwamo; nami nitakapoiona ile …
UMETAKASWA KUPOKEA KIBALI.
MFULULIZO: AGANO LA UTAKASO. SOMO: ESTA 2:15-18. Kibali cha Mungu ndicho kinacho watenga watoto wake kupokea baraka, kupenya na heshima. Zaburi 5:12, “Kwa maana wewe utam’bariki mwenye haki; Bwana utamzungushia radhi kama ngao.” Radhi ni kibali, hivyo kibali ni baraka za Mungu kwa watoto wake kila siku. Kibali ndio mali na urithi ulio mkuu …
MSAADA WA MUNGU WAKATI WA MATESO.
MFULULIZO: MAISHA BILA VIZUIZI. SOMO: ZABURI 46:1. Biblia inatuakikishia kwamba Mungu wetu ni “Msaada wa karibu.” Maanake ni kwamba Mungu wetu yu karibu nasi. Hivyo, kwa sababu Mungu yu karibu sana yeye yuko tayari kutusaidia kwa nguvu zake na neema yake. Maisha yamejaa nyakati za majaribu, kukosa hakika na dhaoruba za kila haina. Hakuna …
CHECHEA MSHINDI ALIYE NDANI YAKO.
MFULULIZO: MAISHA BILA VIZUIZI. SOMO: 1 YOHANA 5:4. Wakristo wengi wanaishi maisha ya kushindwa kwa sababu hawajui jinsi ya kuchochea ule ushindi na ushujaa ulio ndani ya maisha yao. Kila aliyezaliwa na Roho anaye mbegu ya ushindi ndani yake. Ulipookoka mshindi alizaliwa ndani yako, lakini uchochee ule ushindi. Umeumbwa kuwa mshindi na mtawala juu …
JINSI YA KUTAMBUA NA KUVUNJA VIZUIZI VYA BINAFSI.
MFULULIZO: MAISHA BILA VIZUIZI. SOMO: WAAMUZI 6: 11-16 Moja ya vizuizi kubwa zaidi kwa maendeleo ya maisha si upinzani kutoka nje lakini vizuizi vya binafsi. Vizuizi ndani yetu ni pamoja na hofu, kukosa usalama wa Nafsi, kuhukumiwa ndani, hali ya udhaifu wa nafsi, kujionea huruma haya. Yote yanavunja mtu kuliko adui walio nje yako. …
MAJIRA YAKO YATAPAMBAZUKA.
MFULULIZO: MAISHA BILA VIZUIZI SOMO: ISAYA 58:8-9. Majira kupambazuka ni wakati Mungu anachukua nafasi juu ya vita vyako, wakati Mungu anapata kukuinua na kuonyesha utukufu wake katika maisha yako. Kunafika wakati katika safari ya maisha, wakati Mungu anaviondoa vikwazo na vizuizi njiani mwako. Huu ni wakati Mungu anavunja kila ngome mbele zako hili matokeo …
