Kings Of Judah Swahili Service

USIFE MBELE YA WAKATI WAKO

II MAMBO YA NYAKATI 16  I WAFALME 15:9-24 UTANGULIZI Jumapili iliyopita tulisoma juu ya mfalme      Rehoboamu aliye pokea shauri kutoka kwa wajinga.Rehobohamu mwana wa mfalme    Sulemani alimzaa mfalme Abija. Abija hakuwa tofauti sana na babaye. Lakini mfalme Asa     alimpenda Mungu. Asa alianza vizuri lakini  akamalizia vimbaya sana. Watu wengi wanasema hawawezi kufa kabla ya wakati …

Continue Reading
Kings Of Judah Swahili Service

CHAGUO LA SULEMANI- BARAKA TELE

I WAFALME 3:1-15 UTANGULIZI Hekima na moyo wa Adili haupatikani, lakini hupeanwa. Haupatikani duniani lakini huteremka kutoka mbinguni. Inasemekana kwamba Mungu alimpenda Sulemani (2 Samweli 12:24). Sasa inasemekana kwamba   Sulemani naye alimpenda Bwana (V.3).   Mungu anakupenda, hivyo nawe mpende Mungu wako. Sulemani mfalme alienda    Gibeoni kutoa sadaka mbele za Mungu. Akatoa sadaka Elfu kondoo. Sadaka …

Continue Reading