Swahili Service

WOKOVU WETU MKUU

MFULULIZO: TUMAINI HAI. SOMO: 1 PETRO 1:10-12.   Mtume Petro amekubali kwamba wakristo wa kwanza wametawanyika pote wakihofia maisha yao. Hawa Wakristo amewahimiza kwamba wakafurahi sana hata katika mateso. Amewaeleza kwamba wamepata urithi mkuu katika Kristo. Mateso ni kwa muda mfupi tu, tukilinganisha na urithi tuliopata katika Yesu Kristo. Petro amewapongeza sana kwamba hata ingawa …

Continue Reading
Swahili Service

TUMAINI HAI

MFULULIZO: 1 PETRO-YESU KRISTO, TUMAINI LETU. SOMO: 1 PETRO 1:1-12, WAEBRANIA 11:1 Yesu Kristo yu hai, basi uwe na hakika na furaha hata wakati wa shida na mateso. Furaha hata wakati wa shida na mateso. Mtume Petro aliandika kwa wakristo waliokuwa katika uamisho, wametapakaa kote katika Asia Minor (Asia Ndogo). Mahali sasa ni Uturuki kaskazini. …

Continue Reading