JEREMIAH 48:11 UTANGULIZI Watu wengi wanahitaji ujumbe huu zaidi. Hapa twaona kwamba Moabu alikuwa na shida nyingi. Kwanza Moabu alipenda maisha ya starehe, Pili Moabu alitulia juu ya sira zake, Tatu Moabu hakumiminwa kutoka chombo kimoja kutiwa chombo kingine. Moabu hakwenda kufungwa (captivity) kwa hivyo ladha yake anakaa nayo, harufu yake haikubadilika. Moabu alikataa kubadilika …
Category: UKOMBOZI
ROHO YA UTORO
MWANZO 4:12, KUMBUKUMBU 21:18-21, ZABURI 109:10 UTANGULIZI Roho ya utoro, hau upako wa utoro na kutangatanga inachangia pakubwa kukosa muelekeo na kukosa shabaha katika maisha ya watu wengi. Shetani mwenyewe ni mtoro na kazi yake ni kusambaza roho na upako wa utoro na kutangatanga. Katika Mwanzo 4:12, tunaona mtoro wa kwanza duniani “Utakapolima arthi haitakupa …
WIMBO WA MUSA NA WIMBO WA MWANA KONDOO
ISAYA 51:11 KUTOKA 15:1-19 UTANGULIZI “Nao waliokombolewa na Bwana watarejea, watafika Sayuni, wakiimba; Furaha ya milele itakuwa juu ya vichwa vyao, watapata shangwe na furaha, Huzuni na kuugua zitakimbia.” Hapa Biblia inaongea juu ya wimbo wa Musa na wimbo wa Mwana Kondoo. Hebu tuone wimbo wa Musa unaimbwa na nani, ni nani anastahili kuimba wimbo …
JINSI YA KUVUNJA MIAVULI YA UOVU KIROHO
MATHAYO 11:12 UTANGULIZI Hatima ya mtu inapokuwa tisho kwa adui lazima hatima hiyo kushambuliwa. Wakristo wengi wanashangaa kwa nini vita vya kiroho ni nyingi kwao. Unaposhambuliwa na sheatni unahitaji kumsifu Mungu kwa sababu kuna kitu cha maana dani ya maisha yako cha kupiganiwa. Wengine hawana vita kwa maana hakuna cha kushindania dhidi ya maisha yao. …
MUACHANO MBAYA (EVIL DIVERSIONS)
YONA 1:1-17 UTANGULIZI Muachano ni kuacha njia iliyo sahii. Muachano ni kubadilisha muelekeo. Muachano ni kila jambo linalo chukua mafikira yako kutoka kwa shabaha yako. Muachano unaweza kuwa mbaya hau mzuri. Maisha kama jinsi safari, safari inao mwanzo, muelekeo na mwisho. Mungu anao mpango wa Ajabu kwa maisha ya kila mmoja wetu. Maisha ya mtu …
SHINA LAKO LIKIUMIA
KUMBUKUMBU 29:18, MATHAYO 15:13 UTANGULIZI Shina la kitu lina maana nyingi. Shina ni chanzo cha mtu hau kitu. Shina ni msingi, nanga, mwanzo hau katikati ya kitu hau mtu. Katika kumbukumbu 29:18, Bwana anasema kusiwe na mtu mume hau mke mwenye shina lizaalo uchungu na pakanga (wormwood). Uchungu ni sumu kali hau …
NGUVU ZA KUFUNGA, KUFUNGUA NA KUTEKA
SOMO: MATHAYO 12:29; 16:18-19 LUKA 11:21-22 UTANGULIZI Jina la Bwana ni ngome imara, mwenye haki hukimbilia akawa salama. Kwa sababu tumekimbilia ngome hilo na nguvu zake, hivyo anaye tufuatia anapoteza nguvu zake. EE, Bwana vunja kila nguvu za kuzimu zinazotudharau. Neno lasema …
BILA NGUVU MBELE YAKE ANAYE KUFUATIA
SOMO: MAOMBOLEZO 1:6 –12 UTANGULIZI Haya ni maombolezo makali sana. Mkimbizi ako katika shida kubwa kwa sababu anafuatwa na wenye nguvu zaidi kuliko yeye. Mtu anayefuatwa hawezi kupumzika. Hakiwa bila nguvu, basi yeye amepatikana. Maombolezo 1:6- “Naye huyu binti Sayuni, Enzi yake imemwacha; wakuu wake wamekuwa kama ayala anayewafuatia”. Bila nguvu mkimbizi anakuwa bila haja …
JINSI YA KUSHINDA UCHAWI
SOMO: WAGALATIA 3:1-14 UTANGULIZI Kila eneo la inchi linao nguvu za shetani zinazo ishi pale.Mishale ya shetani pia (Satanic Bullets) inabandilika kulingana na eneo. Paulo aliwaeleza watu wa Galatia kwamba walikuwa wamerogwa, kwa maana walianza vizuri katika Roho Mtakatatifu, baadaye wakawa watu wa mwilini. Hebu tuone: I. MAANA YAKE KUROGWA. Hii ni hali ya kupewa …
UKOMBOZI KUTOKA KWA FIMBO YA UDHALIMU
SOMO: ZABURI 125:1-5 ISAYA 14:1-5 UTANGULIZI Mungu Baba anasema Fimbo ya udhalimu imekaajuu ya wenye haki kwa kitambo sasa. Lakini leo Mungu ataivunja hio fimbo ya uovu. Sababu, fimbo ya udhalimu ikikaa juu ya wenye haki, wenye haki watainyosha mikono yao kwenye upotovu !!. Hivi ndivyo wakristo wengi wanapo jaribiwa wanafanya mambo ya aibu. Unapoona …