Swahili Service

KUGUZWA UPYA

MFULULIZO: DANIELI-MUNGU NDIYE HAKIMU. SOMO: DANIELI 10:1-21   Leo tunajifunza jinsi ya kupokea uguzo mpya kutoka mbinguni. Hakuna chochote kimeandikwa kinyume juu ya maisha na huduma ya nabii mkuu Danieli na manabii wachache tu katika Biblia wasiokuwa na lawama. Danieli aliishi katika mazingira mabaya sana maisha yake yote. Maadui walikuwa wengi sana juu ya maisha …

Continue Reading
Swahili Service

DUNIA ITAONGOZWA NA WANYAMA MPAKA YESU ARUDI.

MFULULIZO: DANIELI-MUNGU NDIYE HAKIMU. SOMO: DANIELI 7:1-28.   Katika siku hizi tunaona kama watu wa Mungu wanaendelea kupoteza. Lakini usife moyo. Jipe moyo na ujasiri katika ushindi mkuu unaokuja, na uwe tayari, Yesu Kristo anaokuja kutupa ushindi huo. Katika dunia inayoongozwa na wanyama hakuna usalama. Hakuna usalama katika mwanadamu, bali unatoka mbinguni. Usalama hauletwi na …

Continue Reading