SERIES: THE 12 STONE MEMORIAL TEXT: GENESIS 30:1-8. Today let us look at the 2 sons born to Bilhah, Rachel’s handmaid. Dan means vindication and Naphtali means victory. Leah had given birth to 4 sons and then stopped for a time. Rachel continued to feel more and more pressure as she continues to be …
Month: August 2023
JIPE MOYO KATIKA BWANA
SOMO: 1 SAMWELI 30:1-8 Kila mmoja wetu atapitia wakati wa kuvunjika moyo. Wakati wa kukata tamaa tunahitaji kumtazama Mungu na kuomba msaada wake. Mioyo yetu inapomtazama Mungu, Mungu atatupa nguvu katika hali ya kukata tamaa. Leo hii watu wengi wamekata tamaa na mioyo yao kuzimia katika taabu zao. Wengine wamekata tamaa kwa sababu ya …
BREAKING SATANIC CHAINS THROUGH THE ANOINTING
TEXT: ISAIAH 61:1-2 Jesus Christ was given the anointing of the Holy Spirit without measure and He has the capacity to break every satanic bondage, yoke, covenant and chain. This same anointing is working with us today to set the captives free and enjoy the blessing of God to the fullest. God is the …
FAITH WITHOUT WORKS
SERIES: YOUR FAITH TEXT: JAMES 2:17-26 Faith is substance of things not seen, things hoped for which have not yet appeared- Heb. 11:1. Faith causes one to act as though those things not seen were real. Faith without works is dead. Illustrations of faith:- A man known as Charles Blondin was a professional tight …
JINSI YA KUPOKEA MSAADA WA MUNGU KATIKA SAFARI YA MAISHA
SOMO: ZABURI 121:1-3 Kila mmoja wetu anahitaji msaada katika kila eneo ya maisha. Kwa mwili- ulinzi Kiroho- kuelekezwa. Kifedha- utauwa na ufanisi Tunahitaji msaada wa Mungu kwa maana peke yetu hatuwezi- Yohana 15:5. Msaada wetu u katika Mungu ambaye hawezi kushindwa. Bila Wewe Bwana siwezi. Hebu tuone. UKUU WA MSAADA WA MUNGU (superiority of …
GOD’S UNFAILING MERCIES
TEXT: LAMENTATIONS 3:21-23 The journey of life is too cumbersome and very difficult to predict. Sometimes certain un wholesome events come calling when they are least expected. Most certainly, it is not the strongest of the species that always survive in life, not the most intelligent, but those who are the most receptive to the …
PURE HEART-CLEAN ON THE INSIDE
SERIES: KEYS TO THE KINGDOM OF GOD TEXT: MATTHEW 5:8. As we learn to honor God through purity, our ability to see Him will increase. The reality, reception and reward of a pure heart. “Blessed are the pure in heart, for they will see God”-Matt. 5:8. We are talking about pure in heart …
THE FOUR MOTHERS EXAMPLES OF THE CHURCH
SERIES: THE 12 STONE MEMORIAL TEXT: JOSHUA 4:1-24 The 12 stones memorial set up by the children of Israel after crossing Jordan, we look at the mothers of the 12 tribes (sons) of Jacob and reflect on the type of the church that each represents. Each of the stones is for each of the …
HAKUUKAZA MOYO WAKE AMTAFUTE BWANA
SOMO: 2 MAMBO YA NYAKATI 12:1-12 Mwanaye mfalme Suleimani, Rehoboamu pamoja na nafasi nyingi alizokuwa nazo, hakuukaza moyo wake amtafute BWANA. Je, tutafanyaje kukaza mioyo yetu kumtafuta BWANA, je kuna manufaa gani kukaza moyo wako? Hebu tuone:- FAIDA ALIYOKUWA NAYO REHOBOAMU Babu yake alikuwa Daudi. Daudi alikuwa mwandishi wa Zaburi, mwimbaji mkuu wa Israeli. …
THEY WILL SOAR, THEY WILL RUN, THEY WILL WALK
TEXT: ISAIAH 40:28-31. PREACHER: REV. DR. WILLY MUTISO. Isaiah 40:31 tells us the source of our strength and the three stages christians can be travelling in and yet be revived in. In this verse we note how to renew our strength. “But they that wait upon the Lord shall renew their strength, they shall mount …