Swahili Service

SAUTI YA VITA

I SAMWELI 11:1-15 UTANGULIZI               Usipokimbia adui ataogopa sana kwamba wewe yuko tayari kwa vita, hivyo adui ndiye atakaye kukimbia. Ujumbe huu ni wa kutufundisha jinsi ya kupambana na nguvu zinazojivuna juu ya maisha yako (Dealing with boasting and proud powers of darkness). Ufalme wa mbinguni unaenda mbele kwa vita (Mathayo 11:12), Lazima kukabili adui …

Continue Reading