MHUBIRI 3:1-15, MITHALI 3:5-6 UTANGULIZI Mungu amempa kila mtu kila mahali kipawa cha wakati. Sisi zote tunaishi katika wakati. Hebu tujifunze:- I. ANAYOTUFUNDISHA MUNGU JUU YA WAKATI (Mhubiri 3:1-15) Mungu, Yehova amempa kila mtu kila mahali katika nyakati zake wakati. Mungu ametupa sisi jana, leo na pengine kesho, hivyo hesabu leo kuwa maana sana. Jana …
