Swahili Service

NYAKATI ZA UFALME WA MATAIFA

MFULULIZO: DANIELI-MUNGU NDIYE HAKIMU. SOMO: DANIELI 2:31-49   Leo tunatazama unabii aliouona mfalme Nebukadreza katika ndoto ya yule sanamu. Nebukadreza aliota ndoto iliyomsumbua maisha yake. Kitabu cha Danieli ni msingi ya unabii wa Biblia. Ufunuo ni tafsiri ya ule unabii. Leo tunatazama historia na Biblia kuonyesha jinsi Biblia ni kitabu cha ajabu-Danieli 2:31. Mfalme Nebukadreza …

Continue Reading